Recent content by MilesAway

  1. M

    Nguvu ya saikolojia

    Ni kweli mkuu
  2. M

    Confession

    Dadaangu siku nyingine unafanya kama hujaona bhana [emoji23]
  3. M

    Kwa majanga haya,:wanaume watazidi kupungua sana,nani atatuoa?

    Ndo basi tena ushakuwa mjane.. hao wangine waliobaki wote wapolo [emoji23][emoji23]
  4. M

    Ushauri wangu kwa wanandoa au kwa wanaotarajia kuwa ndoani

    Kama amedumu miaka 7 yenye furaha na amani despite matatizo madogodogo kwenye ndoa basi ni mingi sana. Ni vyema alivyojaribu kushare na wengine siri ya mafanikio yake waweze kujifunza kutoka hapo. Kudumu kwenye ndoa miaka mingi sio tatizo. Kama una la kuongezea unatoa na wewe maoni yako tuzidi...
  5. M

    Mabinti wa Dar: Ukiona Kakusalimia...

    Kumind mtu kisa hajakusalimu mi kwa upande wangu naona kama haiko sawa.
  6. M

    Nina tatizo la kuto kujiamini mbele ya mabinti

    Hapana, ni mazingira na experience alizopitia tu huyo ndo zimemfanya awe ivyo. Ukisema miaka sio kweli manake by that age hata growth activities within our bodies zilishasimama tayari.
  7. M

    Nina tatizo la kuto kujiamini mbele ya mabinti

    Miaka 23 hajakua?? Au tafsiri ya mtu kukua ni kufikia au kupita umri wako..
  8. M

    Ilipaswa kuwa hivi

    Sasa mbomlna mkuu hii ni right handed
  9. M

    Naomba ushauri kuhusu kozi yakusoma

    Ingipendeza kama ungemsaidia kwa ushauri. Asante.
Back
Top Bottom