NINA HITAJI NYUMBA YA KUISHI DAR!
Habari ndugu wanajf! Nina hitaji nyumba ya kuishi, yenye vyumba viwili au vitatu vya kulala, sebule, jiko na choo cha ndani! Iwe na ua,maji ya bomba na umeme. NITAFURAHI kama nitapata maeneo ya Mikocheni B, Sinza, Kijitonyama,Masaki, au hata Oysterbay...