Inakera sana!!!!!! Taja kero yako.....

Inakera sana!!!!!! Taja kero yako.....

Umebanwa na tumbo la kuhara unafika chooni maji Hakuna,au unakuta ndio mtu kaingia mudahuohuo tena ndio anafungua mkanda,au unaenda chooni unakuta watoto wamechambia ukutani ni soo.
 
Unakuta umempenda binti unataka kuoa kabisa nayeye anakupenda tena anakutaka kweli lakini anajifanya hakutaki lkn anakupigia pigia simu na kukuuliza issue nyingine ili ya mapenzi hataki kuongelea
 
Inakera mko kwenye njia yanye msingamano wa watu af kuna watu wako mbele yako wanatembea sambamba au wameshikana mikono then wanatembea taratiibu km wanafungishwa ndoa
 
inakera sana,

nafasi za kazi ziko 5 halafu mnaitwa kwenye interview zaidi ya watu 800!!

mjirekebishe waajiri!
 
Inakera sana ile tabia ya mitoto ya kiume kutupiga mizinga siye wanawake,tena inapokaria tarehe za mishahara! Afu unakuta hilo dume zima lina kazi asa sijui ndo style mpya ya wanaume kuchuna?
 
Back
Top Bottom