Recent content by MIKOKO

  1. MIKOKO

    Leo nimetembelewa na TBC ili tufanye kipindi kuhusu Mzee Abeid Amani Karume

    shekh mohamed said hii ni tunu ya taifa inabid wanahistoria mkae nae ili muandike historia ilio sawa ya nchi yetu
  2. MIKOKO

    Kama unawahi kufika kileleni epuka haya mambo kadhaa

    kila mtu na ufundi wake binafsi naamua nitumie dk ngapi 5, 15, 30, 1hr nk ni akili yangu itakavyo ivyo vyakula aise we wamwanzo kukusikia ukikataza watu wasitumie eti vinaua nguvu mh! WANAUME TUWE TUNAPIGA TIZI haya mambo yatakua story tu
  3. MIKOKO

    RC Chalamila: Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa

    eti magufuli ruling party uksiskia ukubwa jinga ndio huu
  4. MIKOKO

    Sitokuja kuomba kazi tena UTUMISHI

    Mie nakushauri ungebaki na hiko kibarua chako na ukaonesha ufanisi wako huko zaid badala ya kupigania huku utumishi na utafika utakapo
  5. MIKOKO

    Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

    hawa ndio viumbe wa kukumbuka na kuwaenzi milele Sent using Jamii Forums mobile app
  6. MIKOKO

    Fahamu faida na matumizi ya Tende

    asante haipiti wiki lazima nipate japo robo haichoshi tende kuila
  7. MIKOKO

    Nguvu ya Kanisa Katoliki katika Uhuru wa Tanganyika

    umeandika mseto wenye ukweli na uwongo ndani yake kasome kitabu cha mohammed said MAISHA NA NYAKATI ZA ABDULWAHID SYSKES utaupata ukweli hakuna kanisa lolote lililomuandaa yeyote kuja kudai uhuru
  8. MIKOKO

    TAFITI: Viumbe hai vyote vitakufa ila kiumbe huyu ataishi mpaka mwisho wa dunia

    ili ujue matokeo ya jambo lazima ulifatilie mpaka mwisho sasa ebu waulize hao watafiti wako watakuepo hadi mwisho wa dunia kuthibitisha hivyo viumbe kutokufa
  9. MIKOKO

    Mfahamu Pontio Pilato, aliyemhukumu Yesu Kristo kifo

    hiyo ndo picha yake pilato mwenyewe au yamuigizaji ktk muvi ya kristo. msije mkampa kazi mtu wa watu kuanza kukanusha. maana watu watamchukia mitaani huko
  10. MIKOKO

    Ally Sykes alipompatia kadi namba moja mwalimu Nyerere baada ya kutoka vitani 1943

    sijaona historia ya hovyo kama ya tanganyika yaani historia nzima tangu primary hadi university mpambanaji pekee ni nyerere tu ajabu sana yaan huyu mtu alikua yeye ndo rais,makamu yeye, katibu yeye 😁😁 WATANZANIA TUITAFUTE HISTORIA YETU
  11. MIKOKO

    Matukio kumi ya kihalifu yaliyoitikisa dunia

    inasemekana friday night robber atamaliza kifungo chake mwaka 2025
Back
Top Bottom