Recent content by mikindops

  1. mikindops

    Uwepo wa Prof. Kabudi ni kielelezo cha uimara wa timu ya Tanzania katika mazungumzo na Barrick

    TIMU YA BARRICK INAJULIKANA NA KUONEKANA YA KWETU INAFICHWA KANA KWAMBA SISI NDIO WADAIWA
  2. mikindops

    Kabudi aahidi 'kukomaa' ACACIA ilipe matrilioni

    majadiliano yangerushwa live TBC tusikie wanawake na WANAUME wanavyobembelezana
  3. mikindops

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    nimeoa nina miaka kumi sasa, ni kweli halijanitokea ,wewe tayari lishakutokea ?
  4. mikindops

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Nimeoa mwaka wa kumi sasa wewe ushawahi kutombewa?
  5. mikindops

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    msamehe mkeo maisha yaendelee, wala usikumbushie tena kilichotokea nyuma mpende kama ndo mnaanza ,timiza wajibu wako tena kama baba wa familia ,jitahidi usimkosee ,wahi kurudi nyumbani etc fanya kama hakijatokea kitu mkuu,HUO NDIO UANAMUME, HIVYO TU
  6. mikindops

    Wanaume wasio wanywaji wa beer wanapenda sana ila wanafiki

    kuna multipurpose mnywaji,mvutaji na bado ni striker mzuri tu , wapo wengi
  7. mikindops

    Tukumbushane ya Pugu Sekondari

    kamwambie mama yako mimi ndio Nampanda ,kichaa kweli yule
  8. mikindops

    Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

    HAHAHAHHAAA Mwl Nampanda anakutandika bakora na kukwambia kamwambie mamako mimi ndio Nampanda
  9. mikindops

    Maoni: Mipini inayotumika kwenye jembe itumiwe na makomandoo kuwapigia wenzao

    komandoo piga kazi utapumzika ukifa
  10. mikindops

    Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

    Mwalimu Kaka yangu Fredy,alikuwa kanitangulia vidato 2 ,mi nipo day yeye boarding school kila akija likizo alinipiga msasa wa Mathematics mwisho niliondoka na banda O-level bila tuition yoyote.
  11. mikindops

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    lipi jema kuagiza gari ya miaka ya nyuma mfano 2005 lakini lina km chache au kuagiza gari la miaka ya mbele kama 2007 lenye km nyingi ? bila kuhusisha masuala ya kodi ,wajuzi watusaidie hapa tafadhali
  12. mikindops

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Mitsubishi outlander ya mwaka 2006 bei gani Msuya?
  13. mikindops

    Ni punda gani mwenye akili hapa?

    wa mwisho kabsa
Back
Top Bottom