Recent content by MIHULU

  1. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule

    Hahahaha wapo wengi sanaaa ,,Hii si TGts F.. shida reference ZENU mnazichukulia kwa mwl wa certificate,,
  2. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule

    Wewe mwenye akili unatumia kigezo gani kwa hiyo judgement yako?. Mimi nimetumia vigezo vya world bank maskini ni yule anae tumia below 3.65 USD per day sawa na 9300tsh na 270k+ per months hii ni world bank sio Mimi!.. Sasa mtu mwenye uhakika wa 1M hapo tayar ana bima + pension,, Kwa siku...
  3. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Iganzo sekondari wamegoma kupokea maagizo ya wizara ya elimu, waendeleza unyanyasaji kwa mwanafunzi na mzazi wake

    Issues sio kubwa ila mnaikuza ,,nimekupa utatuzi ambayo ni 100% ,,hiyoo issue unaipeleka wizarani,, Afisa wa Elimu kata,wilaya na mkoa wameshindwa kuisolve?. Ukiwa serial killers kwa sababu ya wewe kushindwa kufata taratibu you nothing but a psycho!.
  4. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Walimu ajira mpya 2026 wilaya ya Kwimba Mwanza tumelipwa ela ya kujikimu tsh 360,000/= tu

    Wewe hujui sehemu husika za kumpeleka madai yako?. Achaa wogaa Umemweleza mwajiri (DED)?.
  5. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Iganzo sekondari wamegoma kupokea maagizo ya wizara ya elimu, waendeleza unyanyasaji kwa mwanafunzi na mzazi wake

    MAONI NA USHAURI WANGU KUHUSU HILI SWALA 1: Wizara ya Elimu hawatosaidia chochote sababu (a). Hawapo field watatoa maelekezo tu Tena ya ki siasa kukuridhisha (b).Shule zote za msingi na sekondari hazipo chini ya Wizara ya Elimu,,,Wizara ya Elimu.inahusika na sera & mitaala ,,na sio usimamizi...
  6. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule

    Are you sure walimu ni maskini au umekalili bro ,,wengi wao now at the age of 30+ wanakwangua 1M plus per month,, Sasa Kuna maskini mwenye kipato Cha 1M per month kama take home?.
  7. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule

    Hapa ni jamii forums home of great thinkers sio?.. Sasa mnapata wapi haki ya kuhukumu kwa kusikiliza pande moja ya mtoa mada?. Je mmeusikiliza uongozi wa shule?. . Je huyu anachosema tuna uhakika gani kua ni kweli?. What if dogo ana makosa Mengine ya kinidhamu?. NB: kwa kukua ni kidato Cha Nne...
  8. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Kwanini bado unajaza mamilioni benki wakati kuna USDT na other stable coins?

    Office za hao runners zipo wapi?. Usije kuja na milio tofauti badae ,,Sio kila bank Ina makato ya kifala,,,
  9. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Hii kampuni ya bety ya sportbet imenidhulumu aisee.

    Weka HUO mkeka hapa tuuone,,
  10. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Walimu punguzeni mitihani mashuleni.

    Tafta hela acha kutia Huruma... Kama unaona haina MAANA NENDA SHULENI WAMBIE WALIMU MWANANGU LINAPOKUJA SWALA LA MITIHANI MTENGENII ASIFANYE . UNAKUJA KULIALIANNINI HAPA?.
  11. MIHULU

    JamiiForums Tanzania We mwl. Kuluthum Lema wa S/M Kimandafu uko juu ya waziri wa Elimu? Kwanini uwachape wanafunzi waliofika shuleni kabla ya saa moja asubuhi?

    Hebu tuanze kwanza na Elimu yako?. Wewe umesoma wapi?. Tafta hela peleka watoto wakapande school BUS punguza wivu wa kishamba,, ,,wakifika saa 2 asubuhi shule atafagia mama ako?. Vyoo vyao adeki nani?. Tumesoma hivyo hivyo Tena shule tulikua tunafika 6;30. Shida unekimbilia kuzaa wakati bado...
  12. MIHULU

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Hapa shida imekuja baada ya kuona jamaa kasajiliwa Simba na anakula parefu afu muuza jina bado Hali Tete!..
  13. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na Leo Man u hata double chance hautoi kweliii?.. ?...
  14. MIHULU

    JamiiForums Tanzania CHADEMA chagueni mwenyekiti mwingine, Makosa ya uhaini yamemkosesha Lissu sifa ya kuwa kiongozi

    Wewe umetoa wapi hiyo hukumu wakati bado kesii inaendelea?.
  15. MIHULU

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    City anatulaza na viatu mapema tu
Back
Top Bottom