Recent content by MIHULU

  1. MIHULU

    Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Hahaha aiseee ,,,,DUH ,,HUYU NAE NI BABA WA FAMILIA.
  2. MIHULU

    Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Biology wanasoma wanafunzi wa mkondo wa sayansi tu!. Labda kama maelekezo ya ulipi ni tofauti.. nafundisha wanafunzi 10 tu kidato cha pili out of 53
  3. MIHULU

    Hii ni Hali ya kawaida au Kuna Tatizo sehemu

    Tafuta note book andika ndoto unazoziota na kuzikumbuka Kila ukiamka fanya hivyo hata kwa miaka mitatu!. Be patient utagundua kitu chaa ajabu sana
  4. MIHULU

    Ushauri unahitajika, asome degree ipi?

    Ok mawazo yote yanapokelewa
  5. MIHULU

    Ushauri unahitajika, asome degree ipi?

    Wakuu kwema!.. ushauri unahitajika tafadhali degree ipi Bora kati ya 1. Bachelor of education in special Education (BED SB) 2. Bachelor of Law (LLB) NB Msomaji tayari ni muajiliwa idara ya Elimu secondary.
  6. MIHULU

    Maendeleo Mbagala Rangi 3 yamekuja na Kushamiri kwa biashara ya ukahaba

    Tandahimba ndani ndanii Kuna hatari ,, 1. Kwa Mboma( Nanyanga 2. Kwa Module, (mchichira) 3. Kwa mzambia(Maundo) 4. Kwa Mjeda (Mwangaza)
  7. MIHULU

    PostGE2025 Tangu aongee na 'wazee' wa Dar mbona Rais Samia haonekani?

    Mbona hakumchukia kikwete na Mwinyi
  8. MIHULU

    Ina maana gani hasa Mtanzania kufurahia vikwazo vya kimataifa kwa nchi yetu?

    Na utakuta kweli ni Dr kama anavyojinasibu
  9. MIHULU

    Tunaomba tujue kama D9 ndo imekufa au bado ipo

    Kaa kwa kutulia ,,,,,,bado siku chache hutaamini unaachokiona
  10. MIHULU

    Kama nawaona vile 'Waliotutungua' safari ile wakijiandaa 'Kututungua' tena na 'Kiutaalam' zaidi safari hii

    Sasa unaweka hoja halafu unaishia kujibuu matusi!.. hizi tabia za mabinti wa uswahilini,,kifupi Kila anae reply unamchamba?.. Kwani ni GENTAMYCINE HUYU HUYU au ?
  11. MIHULU

    Tanzania ina aina ya ulinzi wa tofauti kabisa. Si rahisi kuingizwa kwenye shimo kirahisi kama Sudan au Libya

    Nianze kwa kusema wewe ni mpumbafu Wala sio mjinga!... Pia njaa yako ni Kali kuliko yetu ,,yetu ipi kichwani yako ipo tumboni!.. NB: mpe mtu Kila KITU ila ukimnyima haki na uhuru hutoboi ni swala la muda tu uwe unataka au hautaki lazima mabadiliko yatokee
Back
Top Bottom