Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

So far kwenye mzunguko wa pili, ni team 3 pekee zimescore 3 goals first half na zote zipo kwenye mkeka wangu; hauoni kama mpaka hapo naota vizuri?
TOA HIYO HELA MKUU, utakuja kunikumbuka, nimerudia tena achana na wazo la 18m,chukua hizo 2 chukua 1.3m rebet iyo 1. Ikitoa jumla utakula zaidi ya m9 ikichana utaambulia 1m
 
Mkuu usi cash out mimi nilikosaga 82m nikachukua cash out 5.7m timu ya mwisho ikashinda mvua mkeka ukatiki uwezi amini ile 5m niliiona kama elfu 50 niliumia sana mwezi mzima nina mawazo
Aisee wakamaria nawakubali sana muna roho ngumu mno yaani unakuta mwingine kaweka 5000 tu mkeka unasoma milion 19 ila imebaki game moja halafu cashout inasoma milion 3 unakuta mkamaria anakataa kucashout
 
Bro nna kimkeka ambacho nilibet team 43 na stake niliweka 4k ikasoma digits ambazo hadi leo nashndwa kuelewa, mkeka nikaucha yaan sikuuchungulia kwel after 1wk nikauchungulia na kukuta cashout ni 3.8m nkaomba ushaur kwa wana wakasema tusubirie hadi mwisho ila kuna mmoja alikuja akanambia niache tamaa f4 imekupa 3.8m bado unang'angana na ambacho hujui kama kitakuja toa.! Kwel nikacashout kufika saa tano usiku tukinywa manyago yetu kuangalia timu niliyokuwa naiamini imepigwa kama mtoto na sio nyingne ni man city. Washkaji tena wakaanza kunicheka ati imekula kwangu washasahau wao ndo walisema nisi cashout bahati nzur nilikuwa nishakwida 3.8. Nilichowafanyia surely hadi leo tukikutana mda wa mabapa wanahakikisha wana hela mfukoni lna yule alo nishaur nitoe alipata kalaki akapita kushoto. Sasa na wewe cashout haraka afu ubeti hiyo timu ilobaki upya.
 
Bro nna kimkeka ambacho nilibet team 43 na stake niliweka 4k ikasoma digits ambazo hadi leo nashndwa kuelewa, mkeka nikaucha yaan sikuuchungulia kwel after 1wk nikauchungulia na kukuta cashout ni 3.8m nkaomba ushaur kwa wana wakasema tusubirie hadi mwisho ila kuna mmoja alikuja akanambia niache tamaa f4 imekupa 3.8m bado unang'angana na ambacho hujui kama kitakuja toa.! Kwel nikacashout kufika saa tano usiku tukinywa manyago yetu kuangalia timu niliyokuwa naiamini imepigwa kama mtoto na sio nyingne ni man city. Washkaji tena wakaanza kunicheka ati imekula kwangu washasahau wao ndo walisema nisi cashout bahati nzur nilikuwa nishakwida 3.8. Nilichowafanyia surely hadi leo tukikutana mda wa mabapa wanahakikisha wana hela mfukoni lna yule alo nishaur nitoe alipata kalaki akapita kushoto. Sasa na wewe cashout haraka afu ubeti hiyo timu ilobaki upya.
Muda mwingine washkaji wanakupa ushauri kwa nongwa tu fikiria umeweka 5000 halafu cash out inaonekana milion 2 unakuta mtu anagoma kutoa
 
Muda mwingine washkaji wanakupa ushauri kwa nongwa tu fikiria umeweka 5000 halafu cash out inaonekana milion 2 unakuta mtu anagoma kutoa
nakwambia cku hiyo niliwageuka bill zote walilipa wao na mda huo nimekuwa mkali siambiliki nikatoka nakuwaachia bill zote na nilisuja mpango na wahudumu wawabane walipe ila wasiwafanyie vurugu nakwambia wengne walilipa cmu zao hadi kesho yake ndo wakaenda kuzikomboa.
 
Sema shida ya bet huwa Moja,ukibet kwa Siri bila kuonesha mkeka unakula ila Sasa kihere here kikikupanda ukawaonesha wadau huwa kama kuna nuksi,nakushauri chukua hela iliyopo mkononi mkuu huo mkeka mpaka sasa watu wenye macho ya husuda wameshauona na utachanika vibaya mno
 
Oy nakusihi sana chukua hiyo hela...
Portugal alituchania mkeka flani alitoa sativa Instagram ilikua dhidi ya Mexico alitakiwa apate goli 1 tu ili liligoma.. mechi ikaisha 0-0..

Watu walijuta sana
 
Oy nakusihi sana chukua hiyo hela...
Portugal alituchania mkeka flani alitoa sativa Instagram ilikua dhidi ya Mexico alitakiwa apate goli 1 tu ili liligoma.. mechi ikaisha 0-0..

Watu walijuta sana
Naikumbuka hii mechi ilichezwa alfajiri hivi
 
Oy nakusihi sana chukua hiyo hela...
Portugal alituchania mkeka flani alitoa sativa Instagram ilikua dhidi ya Mexico alitakiwa apate goli 1 tu ili liligoma.. mechi ikaisha 0-0..

Watu walijuta sana
Hii ndo inanifanya nisicash out. Law of averages inakataa kwamba kila siku Portugal awe anazingua. Kesho anamnyeshea kibonde. NITARUDI
 
Back
Top Bottom