Recent content by migrah

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu lazima ashinde leo pressure ni kubwa
  2. M

    Mchanganuo wenye Faida kwa ufugaji Kuku wa Mayai

    Hivi ni kweli kuku 1000 watatoa mayai 700, ikiwa mmoja anatoa mayai 250 kwa mwaka, rejea hesabu zako kwanza mkuu
  3. M

    Hivi unapata wapi ujasiri wa kutembea/kulala na mke/mme wa mtu?

    Umeongea point saana mkuu, huku ndo kujitambua, mbona ambao hawajaolewa wako wengi sanaa, Kwa mimi naona bora hata nitembee na mwanafunzi sio mke wa mtu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Kitambi kinazuia nini kwenye kufanya tendo la ndoa?

    Wanao reply wote ni wanaume, labda niwaulize mlijuaje kwamba dyudyu zetu hazinyandui vizuri Nina kitambi kikubwa tuh na hizo changamoto mnazozisema kwakweli sijawahi ku experience, Vitambi wote piga keleleeeee Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Naweza kwenda College gani na matokeo haya?

    Tafta college za business na education zitamfaa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Naweza kwenda College gani na matokeo haya?

    Huyu kwa kwenda ni kwingi na kwasababu amepata D ya math, na D chemistry na D Bios hapo achague yeye tuh maana kila sector anafaa, afya, uhandisi, biashara na section nyingine almost zote ana cover Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Weka bei acha story mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Dar ni mji hovyo kabisa huwezi hata kuifikia Arusha

    Dar ukiwa huna hela lazima uone mji ni mbaya kuliko yote, ila kama pesa unayo sidhani kama kuna mji wa kufananisha, kwa ushauri wangu mleta mada jipange vizuri next time uje na pesa ya kutosha hizo kero ulizozitaja huji kuziskia
  9. M

    Tatizo lolote la PC/device

    Mwenye laptop yoyote iwe core i7 na hdd kuanzia 500 ani pm kwa biashara, dar es salaam
  10. M

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Mwenye laptop yoyote core i7 na ram 8 ani pm tuyajenge
  11. M

    CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Agiza soda mkuu, hawa wanao mkosoa huyo mbunge huenda wana undugu na hao wadada
  12. M

    CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Katika kila kipengele ulicho kitaja angalia ni watu gan wana contact na wateja hua wana appearance gan, hata hospitalin mapokezi pale hua kuna wadada mashallah unapona kabla hujatibiwa wakuu
  13. M

    CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Yani wewe ndo priceless kabisa, kwahiyo ukisema hivyo basi hata watu wenye ulemavu na ufupi wa kimo waombe kazi ya kua askari wa jeshi la polisi kwa sababu nao ni watanzania pure kabisa na wana haki, open your mind mkuu sio kila kazi inamfaa kila mtu, shirika la ndege liheshimike kidogo sio mtu...
  14. M

    CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Acha upwagu wewe, sio kila mtu anafiti kwenye kila kazi, na katika vigezo muhimu kwenye kufanya kazi na mashirika ya ndege ni muonekano, kama hawana muonekano zipo kazi nyingine zitawafaa zaidi, unapoongea huo upuuzi uwe unaangalia hata makampuni yaliyoendelea wanafanyaje, yule mbunge yuko...
  15. M

    Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

    Ana bahati ameshtuka mapema, ila ndo alikua anasahaurika taratibu yan, kwenye game alikua konde na simba tu
Back
Top Bottom