Recent content by Migomba

  1. Migomba

    Nahitaji Chupa Za Bia na Soda

    Nahitaji bia kreti 35 soda 10 Bei 8,000
  2. Migomba

    Nahitaji Chupa Za Bia na Soda

    Mambo vp wakuu, Nahitaji kreti na Chupa za bia na soda. Nipo Dar es salaam.
  3. Migomba

    Je, Kitambaa / Leso inazuia maambukizi ya Corona?

    Maelezo niliyoyapata kwa daktari mmoja ni kwamba kitambaa hakizuii virusi ila ukipiga chafya ukazuia na kitambaa inapunguza tu umbali na wingi wa majimaji yatakayotoka. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Migomba

    Je, Kitambaa / Leso inazuia maambukizi ya Corona?

    Katika jitihada za kupambana na Corona tumekuwa tukipata habari na taarifa mbalimbali jinsi ya kujikinga. Moja ya njia zinazoshauriwa ni kufunika mdomo kwa kitambaa pale unapopiga chafya ili kuzuia usiweze kuambukiza wengine iwapo umeathirika. Lakini wakati huo huo tunaona wataalam...
  5. Migomba

    Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

    Kwa uelewa wangu wa wastani kwenye maandiko. Maombi yanatakiwa yampe utukufu Mungu, tofauti na hapo ni ngumu Sala kupokelewa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Migomba

    Bin Zuberi unaanza kukiharibu kipindi cha Sport AM.

    Yaani kabisa umekaa unasikiliza Habari za michezo TBC? redio zote hizi zilizopo? Kule kama kuna ziara, ufunguzi wa Miradi Sawa lakini sio sports
  7. Migomba

    Anataka kwenda mahakamani kudai kuwa mtoto siyo wake, unamshauri nini?

    Dah mtoto mdogo kafanana na mtu mzima hadi makunyanzi?[emoji3]
  8. Migomba

    SWALI LA KIZUSHI KWENU

    Wangapi wameelewa aliyeficha uso alikuwa anategemea nini?
  9. Migomba

    Enyi mliooa, mlipataje wake?

    Kwa maelezo yako nimegundua ni bange ndio iliofanya umuoe huyu mkeo.
  10. Migomba

    Hii ndo njia rahisi ya kupata pesa bila msoto

    Unasema kilimo ndio njia ya kupata hela bila msoto? Labda kama unalimia humu Jf lakini ukitaka kujua hali halisi waulize wakulima wa korosho mtwara, waulize wakulima wa mahindi kilichowapata misimu mitatu mfululizo iliyopita. Waulize wakulima wa tangawizi Madaba, waulize wakulima wa nyanya na...
  11. Migomba

    Nini kipo nyuma ya kuzuia kuchukua picha au video za bwawa la Mtera?

    Swala la wachezaji liko tofauti. Kuna technique inaitwa lips reading ambapo mtu anaweza kujua unachosema Kwa kusoma lips zako. Sasa chukua mfano Lukaku anamwambia Pogba tuhame hii timu halafu anasomeka
  12. Migomba

    Kwa nini ukitaka kukojoa wakati wa sex mkojo hautoki?

    Dah mwanangu mkatili! Kwa hiyo nia yako ilikuwa nini hasa? [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Migomba

    HIVI KUNA MCHEKESHAJI MWENYE KIPAJI KUKUBWA KAMA HUYU HAPA TANZANIA ???

    Ana kipaji, anaweza asiwe best lakini anaweza Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Migomba

    Je, ni kweli mihogo mibichi huongeza uzalishaji wa manii mwilini?

    Sio cholesterol, Ni testosterone mkuu
Back
Top Bottom