...mm nilinusurika ilikua nyoka koboko yule kama ana rangi kahawia na mdomo wake mweusii tii...
Ilikua mida ya jioni natoka zangu kisimani sasa tulikua tunafanya kilimo cha umwagiliaji mm na washkaji zangu2 apo nmetoka shamba nmepgka vbaya mnoo
ilikua zamu yng kufata maji ya kupkia kisimani...
Forex
Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario...kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000,,,kula bata club madem yaan...
Kwa kuongezea tu city ana kikosi kipana sana ukilinganisha na wenzie cheki majeruh ya de bruyne na fernandinho mendy hayakuwatetersha kabsa cheki mchezaji kama mahrez sane otamendi danilo wako benchi na hapo hatujajua watasajili nani kwenye dirisha LA usajili.cheki vikosi vya pili vya timu...
Ligi ilipofikia sasa n patam kweli ila mkuu AROON umesahau vita iliyopo kwenye kugombea nafasi 7ya ambayo MTU anaenda uropa ukiachana na hao top six vita yao ya top 4 na nafasi ya 5na6 wanaungana wa7 kwenda uropa
Hapo ndo kuna kundi LA wolves, Watford, westham,leister,bounmouth hili kundi kila...
Ongeza na uwakala wa gesi.
Ongeza vipodozi flan basic +vikacha+vichen+hereni na saa
Ongeza viatu vya kimasai/mtumba/duka vya wadada
Ongeza bites+juice dispensor+fridge+take away
Ongeza genge la kisasa na vitu basic vya duka
Ongeza vidira vijora mabaibui
Ongeza copymashine+piga passport+vitu...
Anza hivi Napoleone
Mtaji ni million 15
Nunua kirikou
Budget weka mil 7 utapata nzur tu
Nenda kwa super dealer wa gas nunua
Mitungi ya gesi
Midogo 100
Mikubwa 40
Midogo tupu 23000 ukijaza 15800 jumla 38800 × 100=3,880,000
Mikubwa tupu 42000 ukijaza 38000 jumla 80000×40=2,400,000
Jumla...
Vitu vnavohtajika ili upate line n TIN namba na leseni unapeleka kwa wakala mkuu wa wilaya yako was mtandao husika
Au ununue kwa MTU hapa tafuta MTU mwamnifu matapeli wengi skuhz
Faida inategemea mzunguko wa wateja ktk biashara yako
Hasara inatikiwa uwe makini ktk kupokea pesa kuna matapeli...
Uchambuzi umetulia sana keep it up bro
Kwa upande mmoja alichokiongea mwakinyo in kweli kwamba dunian wapo wabondia weng wazur ila wanaopata spotlight wachache sana.Hii hutokana mapromota wenye nguvu na makampuni shirikishi yote yameangaza macho sehem tatu u.s.a Mexico na UK nandiio maana hata...
Daah umenikumbusha enzi za balehe nilikuaga na misala km yote...
Ilikua HV kipnd kabla ya hata hz digital enz za analogia home walifunga ungo so kulikuwa na machaneli mengii sasa kulikua na Chanel ya south Africa ilikua ikifika night Kali wanaweka mambo yetu(watoto wa mjini wanaita pilau) so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.