Recent content by Migogoro junior

  1. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Wakuu Mimi ni winga wa electronics, naombeni sana mniunge mkono

    Boss weka portable ac tuone bei za saiz ndogo Hornbil
  2. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Fahamu Kuhusu Retirement Planning(Kujipanga kwa ajili ya Kustaafu)

    Inaskitisha mada hizi hakuna reply alafu majitu kwenye udaku simba na yanga..so sad taifa limekwama
  3. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Nimepata visa ya kazi Europe

    Kaka nipe hio namba niende hapo ofisini kwake akanipe mipango na hio kupita kimungu wapi palizngua nijipange mapemaa richie ze best
  4. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Nimepata visa ya kazi Europe

    Mkuu habar samahani kama hutojali naomba nielekeze ulitumia agent gani kama ukinipa no zake utakua umensaidia sana na bajet mpaka unafika poland ilikua shngapi. Kindly wait for ur reply Passport nnayo na bajet nna dola 2000
  5. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Nimepata visa ya kazi Europe

    Mkuu shukrani kwa kushare ungetusanua wanaohitaji kwenda pola d.Agent uliomtumia na bajeti ilikua around kiasi gani richie ze best
  6. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna ngoma kali kuishinda Loi ya Koffi Olomide?

    Hio ngoma ipo kwenye album ya monde arabe Humo ndani kuna ile eputsha hio ngouli Na kuna hizi silivi embargo na porme verte hii album ya moto mpk leo kuna mawe mengi humo usisahau na respect ipo humo ndo ilibeba hio album💥💥💥 Koffi ni legend forever .. king of tchatcho
  7. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna ngoma kali kuishinda Loi ya Koffi Olomide?

    Kwasisi wapenzi wa rhumba koffi olomide aliua kweny hz masterpieces Bambino Fauta djallon Gross bebe Eputsha Airways
  8. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure kwa mnaojiuliza Bendi za Congo DR zinapata wapi pesa za kujiendesha pamoja na wamiliki wake kuwa matajiri

    unaitwa A flye ngoma kali sana Na ukipata muda sikiliza na hizi Aime moi Maria herlene MH humanisme
  9. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Ni tukio gani la kunusurika usiloweza kusahau?

    ...mm nilinusurika ilikua nyoka koboko yule kama ana rangi kahawia na mdomo wake mweusii tii... Ilikua mida ya jioni natoka zangu kisimani sasa tulikua tunafanya kilimo cha umwagiliaji mm na washkaji zangu2 apo nmetoka shamba nmepgka vbaya mnoo ilikua zamu yng kufata maji ya kupkia kisimani...
  10. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

    Forex Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario...kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000,,,kula bata club madem yaan...
  11. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Waliosema Pep hawezi kuchukua EPL back to back , vipi mnalipi tena?.

    Kwa kuongezea tu city ana kikosi kipana sana ukilinganisha na wenzie cheki majeruh ya de bruyne na fernandinho mendy hayakuwatetersha kabsa cheki mchezaji kama mahrez sane otamendi danilo wako benchi na hapo hatujajua watasajili nani kwenye dirisha LA usajili.cheki vikosi vya pili vya timu...
  12. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupisha internationals break hatimaye EPL inarudi tena

    Ligi ilipofikia sasa n patam kweli ila mkuu AROON umesahau vita iliyopo kwenye kugombea nafasi 7ya ambayo MTU anaenda uropa ukiachana na hao top six vita yao ya top 4 na nafasi ya 5na6 wanaungana wa7 kwenda uropa Hapo ndo kuna kundi LA wolves, Watford, westham,leister,bounmouth hili kundi kila...
  13. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni mbili naombeni ushauri jinsi ya kuboresha biashara yangu.

    Ongeza na uwakala wa gesi. Ongeza vipodozi flan basic +vikacha+vichen+hereni na saa Ongeza viatu vya kimasai/mtumba/duka vya wadada Ongeza bites+juice dispensor+fridge+take away Ongeza genge la kisasa na vitu basic vya duka Ongeza vidira vijora mabaibui Ongeza copymashine+piga passport+vitu...
  14. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Nitumie PM ya wazo zuri la biashara! Mtaji Milioni 15 nitaweka pesa

    Anza hivi Napoleone Mtaji ni million 15 Nunua kirikou Budget weka mil 7 utapata nzur tu Nenda kwa super dealer wa gas nunua Mitungi ya gesi Midogo 100 Mikubwa 40 Midogo tupu 23000 ukijaza 15800 jumla 38800 × 100=3,880,000 Mikubwa tupu 42000 ukijaza 38000 jumla 80000×40=2,400,000 Jumla...
  15. Migogoro junior

    JamiiForums Tanzania Nahamia mkoani nauza site ya duka na bidhaa zake

    medicine bei ya bidhaa zilizobaki ukitoa hizo uliweka bei tuangalie tunafanyaje mkuu
Back
Top Bottom