Recent content by Migogoro junior

  1. Migogoro junior

    Ni tukio gani la kunusurika usiloweza kusahau?

    ...mm nilinusurika ilikua nyoka koboko yule kama ana rangi kahawia na mdomo wake mweusii tii... Ilikua mida ya jioni natoka zangu kisimani sasa tulikua tunafanya kilimo cha umwagiliaji mm na washkaji zangu2 apo nmetoka shamba nmepgka vbaya mnoo ilikua zamu yng kufata maji ya kupkia kisimani...
  2. Migogoro junior

    Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

    Forex Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario...kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000,,,kula bata club madem yaan...
  3. Migogoro junior

    Waliosema Pep hawezi kuchukua EPL back to back , vipi mnalipi tena?.

    Kwa kuongezea tu city ana kikosi kipana sana ukilinganisha na wenzie cheki majeruh ya de bruyne na fernandinho mendy hayakuwatetersha kabsa cheki mchezaji kama mahrez sane otamendi danilo wako benchi na hapo hatujajua watasajili nani kwenye dirisha LA usajili.cheki vikosi vya pili vya timu...
  4. Migogoro junior

    Baada ya kupisha internationals break hatimaye EPL inarudi tena

    Ligi ilipofikia sasa n patam kweli ila mkuu AROON umesahau vita iliyopo kwenye kugombea nafasi 7ya ambayo MTU anaenda uropa ukiachana na hao top six vita yao ya top 4 na nafasi ya 5na6 wanaungana wa7 kwenda uropa Hapo ndo kuna kundi LA wolves, Watford, westham,leister,bounmouth hili kundi kila...
  5. Migogoro junior

    Nina Milioni mbili naombeni ushauri jinsi ya kuboresha biashara yangu.

    Ongeza na uwakala wa gesi. Ongeza vipodozi flan basic +vikacha+vichen+hereni na saa Ongeza viatu vya kimasai/mtumba/duka vya wadada Ongeza bites+juice dispensor+fridge+take away Ongeza genge la kisasa na vitu basic vya duka Ongeza vidira vijora mabaibui Ongeza copymashine+piga passport+vitu...
  6. Migogoro junior

    Nitumie PM ya wazo zuri la biashara! Mtaji Milioni 15 nitaweka pesa

    Anza hivi Napoleone Mtaji ni million 15 Nunua kirikou Budget weka mil 7 utapata nzur tu Nenda kwa super dealer wa gas nunua Mitungi ya gesi Midogo 100 Mikubwa 40 Midogo tupu 23000 ukijaza 15800 jumla 38800 × 100=3,880,000 Mikubwa tupu 42000 ukijaza 38000 jumla 80000×40=2,400,000 Jumla...
  7. Migogoro junior

    Nahamia mkoani nauza site ya duka na bidhaa zake

    medicine bei ya bidhaa zilizobaki ukitoa hizo uliweka bei tuangalie tunafanyaje mkuu
  8. Migogoro junior

    Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali

    BradFord93 naomba hayo mawasiliano mkuu mwezi ujao nahitaji niiweke(vocha za kurusha) katka biaahara yangu
  9. Migogoro junior

    Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali

    BradFord93 mkuu HV hio biashara ya vocha za kurusha utaratibu wake ukoje ukitaka kuifanya?
  10. Migogoro junior

    NAMNA YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    Vitu vnavohtajika ili upate line n TIN namba na leseni unapeleka kwa wakala mkuu wa wilaya yako was mtandao husika Au ununue kwa MTU hapa tafuta MTU mwamnifu matapeli wengi skuhz Faida inategemea mzunguko wa wateja ktk biashara yako Hasara inatikiwa uwe makini ktk kupokea pesa kuna matapeli...
  11. Migogoro junior

    NANI ZAIDI KATI YA HASSAN MWAKINYO NA KELL BROOK

    Lakn still audience ya boxing fans bado hajaipata mpk impelekee aonekane hotcake katk division yake kutokana na mambo niliyoyaongea hapo juu.
  12. Migogoro junior

    NANI ZAIDI KATI YA HASSAN MWAKINYO NA KELL BROOK

    Uchambuzi umetulia sana keep it up bro Kwa upande mmoja alichokiongea mwakinyo in kweli kwamba dunian wapo wabondia weng wazur ila wanaopata spotlight wachache sana.Hii hutokana mapromota wenye nguvu na makampuni shirikishi yote yameangaza macho sehem tatu u.s.a Mexico na UK nandiio maana hata...
  13. Migogoro junior

    Tukio gani la ajabu limewahi kukukumba mbele za watu

    Aaah we jamaa ulikua mwanachama hahahaha maana had jina LA Chanel umeikumbuka hahahaha maana kitambo sana hahahahah
  14. Migogoro junior

    Tukio gani la ajabu limewahi kukukumba mbele za watu

    Daah umenikumbusha enzi za balehe nilikuaga na misala km yote... Ilikua HV kipnd kabla ya hata hz digital enz za analogia home walifunga ungo so kulikuwa na machaneli mengii sasa kulikua na Chanel ya south Africa ilikua ikifika night Kali wanaweka mambo yetu(watoto wa mjini wanaita pilau) so...
Back
Top Bottom