Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Habarini ndugu zangu, mimi ni mjasiliamali mdogo wa tigo pesa, mtaji ninaozungushia ni laki sita ila nimepata milioni mbili nje ya biashara yangu, nahitaji ushauri jinsi ya kuboresha biashara yangu.
Nipo kwenye frame.
Pana umeme
Mzunguko wa tigo pesa ni wa kawaida, kwani kwa siku naweza fanya miamala mpaka arobaini
Je nibuni kitu gani kingine kwenye frame yangu ila kisiwe kitu kinachouzwa kwenye duka la vyakula kwani jirani yangu Ana duka la vyakula
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kwenye frame.
Pana umeme
Mzunguko wa tigo pesa ni wa kawaida, kwani kwa siku naweza fanya miamala mpaka arobaini
Je nibuni kitu gani kingine kwenye frame yangu ila kisiwe kitu kinachouzwa kwenye duka la vyakula kwani jirani yangu Ana duka la vyakula
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app