Recent content by Miganga AB

  1. M

    Mzee anaendesha RAV4 huku kavaa Helmet za pikipiki

    Niwazo zuri sana analotembea nalo huyo mzee wetu. Maana ukizingatia ni mtu mzima na pia hali ya jambo kama hilo niliwahi kumuona Mzungu Mmoja Airport pale ni bibi mkongwe na yeye alivaa helmet, nikauliza nikajibiwa safety first. Maana unaweza ukateleza na kupata ajali kichwani.
  2. M

    Zifahamu siri za maisha

    Madini yako Ni makubwa Sana kaka hongera.
  3. M

    Tatizo la ac kwenye gari yangu

    Hapo bila shaka gari yako itakua kuna pipe inavujisha au kuna kitu kama chujio la ndani lilalohifadhi gas ya Ac limekwisha so lazima livuje na ni mafundi wachache wanaoweza kugundua hiyo
  4. M

    Some social rules may help you to look professional

    Obrigado, muito bem! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Ushauri: Kwenu Wanaume, Haikuwa yako ilikuwa zamu yako!

    Duh ngoja nisubirie wakubwa waje maana mie Bado najifunza Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Series (Special thread)

    Hutojutia kuangalia hiyo movie
  7. M

    Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

    Asante sana kaka![emoji122][emoji122]
  8. M

    Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Nami Poa mkuu nialike kwenye hiyo mada
  9. M

    Mwenye Banshee Seasons zote anisaidie nazihitaji

    Mi ninayo kama upo dar ni cheki uje uchukue
  10. M

    Siku ya kwanza kuja ghetto kanivulia Chupi

    Kale kamsemo Katika mtandao wa TIGO JAZWA UJAZWE naona yanakutokea sasa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
  11. M

    Dedication song

    Bambi - Jidenna
  12. M

    Series (Special thread)

    Na nyenginezo kuna: The lastship Gotham Banshee Person of interest
  13. M

    Je, Maisha yako yanategemea ajira pekee?

    Asante sana mkuu... Ujumbe umefika
Back
Top Bottom