Niwazo zuri sana analotembea nalo huyo mzee wetu. Maana ukizingatia ni mtu mzima na pia hali ya jambo kama hilo niliwahi kumuona Mzungu Mmoja Airport pale ni bibi mkongwe na yeye alivaa helmet, nikauliza nikajibiwa safety first. Maana unaweza ukateleza na kupata ajali kichwani.
Hapo bila shaka gari yako itakua kuna pipe inavujisha au kuna kitu kama chujio la ndani lilalohifadhi gas ya Ac limekwisha so lazima livuje na ni mafundi wachache wanaoweza kugundua hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.