MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,383
- 1,358
Habari Zenu Wakuu, Poleni Na Hongereni kwa Majukumu.
Nina Toyota Alphard ambayo haijamaliza Miezi miwili tangu nimeichukua, Sasa ghafla AC ikawa Hapozi Nikapeleka kwa Wale Jamaa Wanaojaza gesi, Wakaicheki, Wakaniambia gesi imeisha, nikawaambia Wajaze, Wakabadilisha na Fuse sijui Iliungua , Kweli baada ya Pale Ac ikawa Inafanya Kazi Vizuri tu, Leo ghafla Nawasha gari, Tatizo limejirudia, Na Hili Joto la Dar, nimeanza Hata kulichukia Gari lenyewe.
Naomba kwa anaefahamu tatizo hili linasababishwa na nini? Au wapi naweza kupata fundi mzuri Maana natupa hela bila Mafanikio.
Natanguliza Shukrani
Nina Toyota Alphard ambayo haijamaliza Miezi miwili tangu nimeichukua, Sasa ghafla AC ikawa Hapozi Nikapeleka kwa Wale Jamaa Wanaojaza gesi, Wakaicheki, Wakaniambia gesi imeisha, nikawaambia Wajaze, Wakabadilisha na Fuse sijui Iliungua , Kweli baada ya Pale Ac ikawa Inafanya Kazi Vizuri tu, Leo ghafla Nawasha gari, Tatizo limejirudia, Na Hili Joto la Dar, nimeanza Hata kulichukia Gari lenyewe.
Naomba kwa anaefahamu tatizo hili linasababishwa na nini? Au wapi naweza kupata fundi mzuri Maana natupa hela bila Mafanikio.
Natanguliza Shukrani