Recent content by Mie12

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nauliza kwa wanaofahamu: Je inawezekana Juice dispenser ya mitungi mitatu kuendeshwa kwa solar?

    Mkuu, Kwanza kabisa hapo utahitajika kuwa na Kifaa kiitwacho Inverter ambayo iwe na uwezo wa zaidi ya hizo 500W, na mara nyingi zipo zenye 750W. Hapo utahitajika kupata solar panel kubwa pamoja na battery zenye storage kubwa ya chaji, ili angalau kuweza kuihudumia hiyo 500W dispenser kwa masaa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tukio gani limewahi kukutokea mpaka ukajisemea kweli Mungu yupo?

    Natamani Jf waweke option ya muanzisha thread kuweza kublock wachangiaji asiowataka katika thread yake. kuna baadhi ya mada huwa zinaanza vizuri, ila bahati mbaya ikiambukizwa virus wa ubishani hufia njiani, na hali hiyo inapunguza wingi/uwanda wa maarifa ambayo yalitegemewa kupatikana.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa Kitaalamu kuhusu solar

    kwa Kioo chake cha watt 40 uwezo wake hautaweza kuzijaza hizo battery za N200 ndani ya masaa 12 ya jua. Kwa hiyo mapendekezo ni battery yenye N40 kushuka chini. Charger controller inategemea mpangilio wa betri zako pamoja na mzigo/matumizi (Load) inayotegemewa kuwepo katika mfumo wako wa sola.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu matibabu ya paka

    na je chanzo ni ugonjwa kawaida au alipigwa maana wengine hupatwa na tatizo hilo kutokana na kupigwa. Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jamaa atengeneza sufuria mbili kwa moja

    Sorry Mkuu, Huyu pia ameiga. Hiyo sufuria imegundulika zamani sana enzi za vita vya dunia huko. na ilikuwa ikitumika kupunguza gharama za nishati. Tumtambue kwa kuhuisha hii idea ila sio mvumbuzi. Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

    11:25
  7. M

    JamiiForums Tanzania Jaman naomben msaada wa ku apply field caurse ya Mechanical Engineering

    Field ya mechanical engineering inapatikana viwanda vingi vya uzalishaji, Kuanzia viwanda vya nguo, mafuta na gesi, soda, ngano, powerplants, veta, sido, railway, kampuni za usafirishaji ie;BRT, mamlaka ya usafiri wa anga, karakana za Serikali na halmashauri, kampuni kubwa za ujenzi, kwenye...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    vigezo vyako viko safi. unastahili hio nafasi
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mungu nisamehe kwa nilichotaka kufanya

    Pole sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maafa ya mafuriko Tanga yaliyoacha maumivu yenye makovu ya milele

    Ni kweli, kama lengo ilikuwa ni siri ilishafichuliwa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi uvunguni mwa meli, boat au pantoni kukoje?

    Mkuu wa stendi[emoji115]
  12. M

    JamiiForums Tanzania Historia katika picha: Wazungu walitutesa sana waafrika!

    Hii inawezekana kabisa mkuu.
Back
Top Bottom