Mkuu,
Kwanza kabisa hapo utahitajika kuwa na Kifaa kiitwacho Inverter ambayo iwe na uwezo wa zaidi ya hizo 500W, na mara nyingi zipo zenye 750W. Hapo utahitajika kupata solar panel kubwa pamoja na battery zenye storage kubwa ya chaji, ili angalau kuweza kuihudumia hiyo 500W dispenser kwa masaa...
Natamani Jf waweke option ya muanzisha thread kuweza kublock wachangiaji asiowataka katika thread yake. kuna baadhi ya mada huwa zinaanza vizuri, ila bahati mbaya ikiambukizwa virus wa ubishani hufia njiani, na hali hiyo inapunguza wingi/uwanda wa maarifa ambayo yalitegemewa kupatikana.
kwa Kioo chake cha watt 40 uwezo wake hautaweza kuzijaza hizo battery za N200 ndani ya masaa 12 ya jua. Kwa hiyo mapendekezo ni battery yenye N40 kushuka chini.
Charger controller inategemea mpangilio wa betri zako pamoja na mzigo/matumizi (Load) inayotegemewa kuwepo katika mfumo wako wa sola.
na je chanzo ni ugonjwa kawaida au alipigwa maana wengine hupatwa na tatizo hilo kutokana na kupigwa.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Sorry Mkuu, Huyu pia ameiga. Hiyo sufuria imegundulika zamani sana enzi za vita vya dunia huko. na ilikuwa ikitumika kupunguza gharama za nishati. Tumtambue kwa kuhuisha hii idea ila sio mvumbuzi.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Field ya mechanical engineering inapatikana viwanda vingi vya uzalishaji, Kuanzia viwanda vya nguo, mafuta na gesi, soda, ngano, powerplants, veta, sido, railway, kampuni za usafirishaji ie;BRT, mamlaka ya usafiri wa anga, karakana za Serikali na halmashauri, kampuni kubwa za ujenzi, kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.