Kama upo Dar mpele kwa Dr Senare paleMigombani st baada ya alipokuwa anaishi Rasi Mstaafu Kikwete, Mungu akubariki utapata suluhisho ya hilo tatizo.Habari wana nzengo,Kwa yeyote mwenye ufahamu na hili tatizo nahitaji msaada kuelimishwa.
Paka (Nyau)wangu.
Amepata Ulemavu wa ghafla( ame paralize kuanzia kiunoni hadi miguuni.Je nimpe huduma gani ili kumsaidia?
Mifugo/wanyama nao wana nafsi wanahitaji uangalizi wetu mkuu.Dah! Yaani paka ndiyo anakuumiza kichwa kiasi hicho! Mtafute Daktari wa mifugo kwa msaada zaidi.
na je chanzo ni ugonjwa kawaida au alipigwa maana wengine hupatwa na tatizo hilo kutokana na kupigwa.Habari wana nzengo,Kwa yeyote mwenye ufahamu na hili tatizo nahitaji msaada kuelimishwa.
Paka (Nyau)wangu.
Amepata Ulemavu wa ghafla( ame paralize kuanzia kiunoni hadi miguuni.Je nimpe huduma gani ili kumsaidia?
Hakupigwa ni ghafla tu alikuwa anacheza na nyau mwenzie mara akaanza kutetemeka kisha ndo kikafuata kitendo cha miguu kukosa nguvu hadi kiunoni mkuuna je chanzo ni ugonjwa kawaida au alipigwa maana wengine hupatwa na tatizo hilo kutokana na kupigwa.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Omba kwa jirani mwenye paka wadogoWakuu wapi wanauza paka, natamani sana kuwa na paka nyumbani kwangu
Ukichukua jirani vinarudi, Mimi nilichukua umbali wa km 5 ila amerudiOmba kwa jirani mwenye paka wadogo
Unamuweka kwa box, pia ukifika kwako usimruhusu atoke nje ya uaUkichukua jirani vinarudi, Mimi nilichukua umbali wa km 5 ila amerudi
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yote nilifanya lakini alitolokaUnamuweka kwa box, pia ukifika kwako usimruhusu atoke nje ya ua
Pole
Kuwa makini sana na mapaka hayo..unawajua toxoplasma gondii,toxicara cati na wengineo.?Habari wana nzengo,Kwa yeyote mwenye ufahamu na hili tatizo nahitaji msaada kuelimishwa.
Paka (Nyau)wangu.
Amepata Ulemavu wa ghafla( ame paralize kuanzia kiunoni hadi miguuni.Je nimpe huduma gani ili kumsaidia?