Recent content by mickey drizzy

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kibonoka genius

    Wazee wawili walikua wamekaa chini ya mti wakizungumza kuhusu watoto wao huku kila mtu akimsifia mtoto wake: BABA KIBONOKA: Wewe huniambii kitu, mwanangu ana akili kuliko hata wako BABA KIPONDO: Mwanao zero tu hana kitu BABA KIBONOKA: Aaah! wewe humjui yule, hapa kwenyewe yupo ndani anajisomea...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanya nini?

    mh! mi picha sivuti labda mjani ila kitambo sana nishauachaga...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Teacher na student

    Usishangae... Siku zote akili za kurithi zinazidi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Teacher na student

    hahaha
  5. M

    JamiiForums Tanzania Teacher na student

    yeah he is brilliant
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

    naogopa nitakupwelepweta bure
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

    Duuh.. Acha Kutuyeyusha wewe mwenye Bikra Hajitaj.i. Ila wenye Rambo ndo wanajisifia wana bikra.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Teacher na student

    Kibonoka
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nahisi mpenzi wangu ana govi

    Dadeq Zako Kwanza Umevunja Amri Ya 5... Inayokukataza Usizini, Pia mwambie jamaa alikate dubwasha lake maana hata mungu alimwambia musa awatahiri watu wake ndo mana hata yesu alitahiriwa... ila usizini tena muombe mungu akunyooshee mapito yako ili tamaa ya kuduchuana isikusogelee... sawa??!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tujuane

    Habari za wakati huu wapendwa wana Jf, Humu tupo wengi wa sehemu tofauti tofaut na pia rika tofauti ningependa tufahamiane jamani so kama upo online jiachie usisite hii ndo time yetu tubadilishane mawazo na pia tupige stori mbali mbali kuhusu maisha yetu ya kila siku. KARIBUNI
  11. M

    JamiiForums Tanzania "JAMANI JIRANI" episode one

    Ni Jioni Moja Tulivu Wanaonekana Jamaa Wawili Wakishuka Katika Boda Boda Wakielekea Makwao.. Katika Nyumba Moja Iliyochoka Zinaskika Saut Mbili Za Watoto zikilia.. "dady" "dady" na m1 kat ya wale 2 alipofika karibu na nyumba ile akatoka mama m1 mzur wa sura,umbo n hata nyuma pia.. na huyu si...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba ambae baadae aweza kuwa mke

    habari zenu wakuu hope mmeshinda poa kwanza kabisa ningependa tumshukuru mungu kwa kutulinda na kutupa pumzi yake mpaka hivi sasa (wote tuseme amin) mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23... natafuta mwanamke ambae anaweza kuja kuwa mke wangu wa baadae sifa- ajitambue - asiwe...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    Thijui mana me bado mgeni
  14. M

    JamiiForums Tanzania Simuelewi huyu mwanaume

    habari za wakati huu mabibi na mabwana.. kwanza kabisa tumshukuru mungu kwa kutupa pumz mpaka saa hii tuendelee.. daah! poyeee thana.. bt me kwa upande wangu nina mtazamo tofauti na jamaa... inawezekana kwa 75% atakua na tatizo la kisaikolojia na hii mara nyingi humtokea mtu ambae...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Me mgeni humu jamani nipikieni hata miguu ya mbuzi

    Shukrani sana wakuu
Back
Top Bottom