Wazee wawili walikua wamekaa chini ya mti wakizungumza kuhusu watoto wao huku kila mtu akimsifia mtoto wake:
BABA KIBONOKA: Wewe huniambii kitu, mwanangu ana akili kuliko hata wako
BABA KIPONDO: Mwanao zero tu hana kitu
BABA KIBONOKA: Aaah! wewe humjui yule, hapa kwenyewe yupo ndani anajisomea...
Dadeq Zako Kwanza Umevunja Amri Ya 5... Inayokukataza Usizini, Pia mwambie jamaa alikate dubwasha lake maana hata mungu alimwambia musa awatahiri watu wake ndo mana hata yesu alitahiriwa...
ila usizini tena muombe mungu akunyooshee mapito yako ili tamaa ya kuduchuana isikusogelee... sawa??!
Habari za wakati huu wapendwa wana Jf,
Humu tupo wengi wa sehemu tofauti tofaut na pia rika tofauti ningependa tufahamiane jamani so kama upo online jiachie usisite hii ndo time yetu tubadilishane mawazo na pia tupige stori mbali mbali kuhusu maisha yetu ya kila siku.
KARIBUNI
Ni Jioni Moja Tulivu Wanaonekana Jamaa Wawili Wakishuka Katika Boda Boda Wakielekea Makwao.. Katika Nyumba Moja Iliyochoka Zinaskika Saut Mbili Za Watoto zikilia.. "dady" "dady" na m1 kat ya wale 2 alipofika karibu na nyumba ile akatoka mama m1 mzur wa sura,umbo n hata nyuma pia.. na huyu si...
habari zenu wakuu
hope mmeshinda poa
kwanza kabisa ningependa tumshukuru mungu kwa kutulinda na kutupa pumzi yake mpaka hivi sasa (wote tuseme amin)
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23...
natafuta mwanamke ambae anaweza kuja kuwa mke wangu wa baadae
sifa- ajitambue
- asiwe...
habari za wakati huu mabibi na mabwana..
kwanza kabisa tumshukuru mungu kwa kutupa pumz mpaka saa hii
tuendelee..
daah! poyeee thana.. bt me kwa upande wangu nina mtazamo tofauti na jamaa... inawezekana kwa 75% atakua na tatizo la kisaikolojia na hii mara nyingi humtokea mtu ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.