Recent content by Michael Ngusa

  1. Michael Ngusa

    Natafuta kazi ya Night Shift

    hapana mkuu. Mimi ni kijana wa wastani. Ingawa kazi za mikono naziweza Ila sio za uzito mkubwa. Simaanishi kuwa siwezi kunyanyua kilo 50, Ila siwezi kunyanyua kilo 50 ucku kucha.
  2. Michael Ngusa

    Natafuta kazi ya Night Shift

    Mkuu, Mimi sio tapeli. Pia, nilichangiwa kwasababu nilikuwa kwenye shida bila njia ingine ya msaada. Pia, walionichangia walijiridhisha kuwa mm ni genuine na ndio maana wakajitolea. Kama hukuwa mmoja wao, mm sina kinyongo na wewe. Asante.
  3. Michael Ngusa

    Nimeamua kujiajiri ila natafuta kazi ya aina hii kwasababu hii

    Habari ndugu zangu, Mie nimetumikia industry ya Media upande wa Printing, Design, Social Media Management na Video Production kwa miaka 3 sasa. Nimeamua kujiajiri kwa kuwa na kampuni ya Web Design & Development, kazi ambayo inahitaji Laptop yangu tu na ninaweza kuifanyia nyumbani. Changamoto...
  4. Michael Ngusa

    Natafuta kazi ya Night Shift

    Waungwana, Kwa Mwenye kujua mahali ninapoweza kupata kazi ya zamu ya usiku au yeye mwenyewe kuniajiri nitashukuru sana. Kazi hiyo inaweza kuwa yoyote ingawa kwa uzoefu wangu industry ya Entertainment na Hospitality ndio huwa na nafasi nyingi za shift ya usiku. Elimu yangu ni ya chuo ngazi ya...
  5. Michael Ngusa

    Ni wapi hapa Dar naweza kwenda kukaa tu na Laptop yangu bila kununua chochote?

    nadhani ntafanyia kazi hili, ingawa target yangu ni sehemu nayoweza kuplug socket adopter
  6. Michael Ngusa

    Ni wapi hapa Dar naweza kwenda kukaa tu na Laptop yangu bila kununua chochote?

    Wadau, Leo mwenzenu sina ratiba kabisa. Nauliza kama hapa Dar kuna eneo mtu anaweza kwenda either na Laptop yake kwaajili ya ku buy time/hang around bila gharama yoyote kama vile kununua vinywaji, chakula au kubugudhiwa na wahudumu kwamba eneo hilo sio ofisi? inaweza kuwa ni Public Resting...
  7. Michael Ngusa

    Dear Kenyans, would you be so kind to host me for a month in Nairobi?

    Asante sana bwana Zamiluni. Natumai nitafanikiwa.
  8. Michael Ngusa

    Dear Kenyans, would you be so kind to host me for a month in Nairobi?

    Dear colleagues from Nairobi, I found a job in Nairobi as Graphic Designer (I have 3 years' experience in the field), I am a Tanzanian from Dar es Salaam. I hope when I reach in Nairobi to also join a Church to keep serving my Lord Jesus, I'm a Musician, playing instruments apart from my...
  9. Michael Ngusa

    Ukiwaoa wanawake wanaofanya kazi hizi, basi una changamoto kubwa

    mkuu jamaa kaekeza facts...unajua maana ya neno "fact"? tabia husababishwa na asili au mazingira. hiyo ni fact...sio unapinga hoja bila fact. km ww hukuchezewa, rejea fact ya "mazingira".
  10. Michael Ngusa

    Nashindwa kumtafutia shemeji kazi

    umequalify vigezo alivyomention au unaforce ligi!?
  11. Michael Ngusa

    Haya sasa wapenzi wa media Dar es Salaam

    nipo Dar, tabata
  12. Michael Ngusa

    Haya sasa wapenzi wa media Dar es Salaam

    njoo dar kila wikendi
Back
Top Bottom