Recent content by Micado

  1. Micado

    Ajali ya Meli: Maoni na mtazamo wa wananchi kwa yaliyojiri

    AJALI ZA KUJITAKIA ZINAENDELEA KUTUMALIZA WATANZANIA!! Wakati meli ilipopinduka ziwa Victoria miaka kumi na tano iliyopita, lawama za wananchi zilikuwa ni kuhusiana na wingi wa watu na wingi wa mizigo, dunia nzima ilisononeshwa na habari hizo, na wakati ilipokuwa inatokea ajali hiyo taifa letu...
  2. Micado

    Wanawake Watatu!!!!!!!

    Aliyeizoea bila shaka alikuwa haitaji tena kuinyonya wala kuilamba kwa sababu ameshafanya yote hayo hapo awali.Hivyo basi yule aliyekuwa anaimung'unya ndiye aliyeolewa kwani anajitahidi kuona kama itaisha kwa kuimungunya.
  3. Micado

    Mungu mkubwa! Ilikuwa tufe ajalini leo!!

    Aisee hiyo ni hatari kweli kweli....!!Hivi hii nchi na watu wake wajinga wanaelekea wapi na visa vya ajabu ajabu namna hii kila kukicha tunaskia jipya....Hali tete kwa kweli:sick:
  4. Micado

    Heeeeee kumbe tz.........................................

    Una uhakika na unayosema ama ni namna tu ya kuanzisha mada ya uongo...??
  5. Micado

    Msiba Mkubwa members wa Calabash Pub

    R.I.P to the deceased.
  6. Micado

    Kwanini wanawake wengi walioolewa baada ya muda hujisahau kuwajali waume zao, wakiachwa hujuta sana

    Haswa wanahitaji sana kukumbushwa.....!!!kujisahau na kubweteka ndo swala zima.
  7. Micado

    Great Thinkers nisaidieni, Huyu dada vipi....?

    Kwan wewe ulifikiri hiyo body language ina maanisha nini....?mbona unauliza jibu badala ya swali???Acha hizo wewe.....!! Cha mtu mali kiache hivyo hivyo usije ukajifanya mwepesi sana wa kurukia vya watu.
  8. Micado

    ijue picha ya mama aliyetaka kubakwana na Strauss-Kah(Boss wa IMF)

    Msiwe judgemental hivyo kwa kusikia rumors za upande mmoja wa story....pia mjiulize kwan nini hii kashfa imejotokeza hivi punde tu wakati anataka kugombea urais. It all makes good sense with the timing of the story.
Back
Top Bottom