Recent content by Miaka50ya UHUNI

  1. M

    Siungi mkono mgomo wa madaktari...

    Ni rahisi madki kogoma kwann ni rahisi kushawishiana.hii ni sawasawa na na waathirika wa mafuriko wa Dar na Waathirika wa Moto Mbeya,wa Dar anasaidiwa haraka kutokana na media coverage kuliko wa mbeya lakin je ni sahihi???
  2. M

    Siungi mkono mgomo wa madaktari...

    si kweli kila mtumishi anastahili better pay.Madkt wakigoma wanaongezwa mshahara haraka kulingana nature ya kazi yao.Lakin je,ni sahihi serikali kuwasikiliza madaktari tu.Mwalimu mwenye Degree alipwe sawa na nesi mwenye cheti??ni sahihi
  3. M

    Siungi mkono mgomo wa madaktari...

    jibu hoja ya mleta mada,iweje madaktari walipwe mishahara mikubwa kuliko watumishi wengine wa umma?? wote tunanunua vyakula na mboga sehemu moja(madukani au sokoni) kwann wao ndo wanaoskilizwa??Kama wanataka ubunge waende wagombee
  4. M

    Mishahara serikalini kulipwa dirishani

    Haahaaa kumbe ni dili la wahasibu
  5. M

    Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika Uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

    Fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mie niko zangu hom cjaona cha kusherekea!uhuru wenyewe wa matonya(bure)
  6. M

    Kikwete na usanii wake

    charity starts at hom,after all ndo waliokupa kura +NEC
  7. M

    Al-Shabaab kushambulia mechi ya Simba na Yanga

    Dini wanayo usipotoshe ukweli,wanavaa suruali fupi,wamefuga ndevu nyingii kama makuhani na vilevile mida ya saa sita huwa wanaweka silaha chini wanafanya ibada. Tanzania tayari wanamiliki Media(gazeti na radio)
  8. M

    Al-Shabaab kushambulia mechi ya Simba na Yanga

    Hivi ukiwagusa Al-shabaab BAKWTA si watalaani serikali ya mfumo-kristo!
  9. M

    Taasisi za Kiislamu zaisafisha CHADEMA

    Ishu ya Udini hata Julius Mtatiro(Mkristo) alitumia kuwadanganya Waislam Igunga eti CDM chama cha wakristo.Je,kwann na yeye asijiunge hukohuko?? Na ninyi Waislam acheni U-mamuma mtatumika mno. CCM mtaji wao ni mamuma.
  10. M

    Taasisi za Kiislamu zaisafisha CHADEMA

    Who wrote the book? Nakikubali hichi kitabu asilimia 100,those who believe on these verses can't be separated from satans e.g.Al-Shabab,Alqaida etc
  11. M

    JK na miaka 50 ya UDSM: Nipo hivi nilivyo sababu ya UDSM

    wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii woooooooooooooooooooo wuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!Rais wa Tume pole,vijana wapelekwe JKT(Jiandae Kuwa Tahira) ili muwapumbaze washindwe kuhoji.
  12. M

    UDASA Wagomea JAKAYA Kutunukiwa PHD ya HESHIMA

    Prof,Mkandala unatutia aibu Bukoba,angalia Wasomi wenzako wa pande za kwenu,je unafananao??Acha kujipendekezapendekeza kama Bana.
  13. M

    Ridhiwan Kikwete awashitaki Dr. Slaa, Mtikila

    Ya misri yakotokea bongo Riz unalo,lazima unye mavi debe
Back
Top Bottom