Kikwete na usanii wake

Unapinga kila kitu. Mwishowe utapinga hata jinsia yako.
Napinga kila kitu kinachopingika........... Hata ikibidi kupinga jinsia yangu nitafanya hivyo so long as nina nguvu ya hoja ya kufanya hivyo. Nyie mnaokubali kila kitu kuna siku mtaombwa vinavyoshangaza mtavitoa kwa vile mnaogopa kupinga..............
 
...Msanii tu huyu anazungumza kisanii sanii tu. Ahadi yake ya kuibadilisha mikataba ya madini ameshindwa kuitekeleza kwa miaka sita sasa. Wakati wachukuaji wakichukua $1.5 billion ya dhahabu yetu kila mwaka siye tunaambulia $100 million kwa mwaka!!!! Halafu bado anataka wachukuaji waje watusaidie kupambana na umaskini!!!! Dah!....Eti naye ni Rais wa nchi huyu!!!! Na kauli zake hazifanani hata na mjumbe wa nyumba kumi kumi!!!!!
 
...Msanii tu huyu anazungumza kisanii sanii tu. Ahadi yake ya kuibadilisha mikataba ya madini ameshindwa kuitekeleza kwa miaka sita sasa. Wakati wachukuaji wakichukua $1.5 billion ya dhahabu yetu kila mwaka siye tunaambulia $100 million kwa mwaka!!!! Halafu bado anataka wachukuaji waje watusaidie kupambana na umaskini!!!! Dah!....Eti naye ni Rais wa nchi huyu!!!! Na kauli zake hazifanani hata na mjumbe wa nyumba kumi kumi!!!!!

Mhhhhh!! Pole BAK...........angalia usibomoe keyboard yako kwa hasira.....:)

Weekend njema
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Embu watanzania mbadirike na kua na roho za ku appreciate hata kwa kidogo anachofanya raisi wenu??? Yote yanafanywa kwa ajili yenu na nyie walalamikaji mmeifanyia nini nchi yenu...mwisho wa siku kila mtu na mzigo wake aisee jitumeni kwa uwezo na nguvu zenu muache kulalamika kila kona...tunaelewa kuna sehemu anapaswa alaumiwe lakini hata hili la kuongea na watu wa jumuiya ya madola mnaita usanii...yani kuongea tu tena point za ukweli kbs
Kazikazi kwelikweli, Katika Afrika ni Tanzania pekee ambapo mwekezaji anakuja na proposal yake pamoja na jishi atakavyokuwa anawajibika katka uwekezaji wake, lakini mtaji na kila kitu anapata hapahapa, angalia makampuni kama ya uchimabji wa madini pamoja na hawa sasa wanajiita airtel ambavyo wanatukamua kwa mtaji wetu wenywewe, angalia jinsi NBC ilivyouzwa kwa bei ya kutupwa, angalia netgroup solutions ambavyo walikusanya madeni mpaka jeshini na wakakimbiza pesa kwao South Africa, bado unamtetea ******? kama Libya wamemchinja Gadafi kwa mazuri yote aliyofanya sijui sisi tutawafanya nini hao waliotufikisha hapa????
 
Sasa mlitaka Rais asemeje? msimlalamikie Rais kwa kila jambo,fanyeni kazi kwa juhudi,sasa mtu unashinda Jamii forum kutwa nzima,unategemea unafuu wa maisha utoke wapi wakati watu sio wabunifu wanataka Kikwete awaletee hela majumbani,Pumbavu sana,Mzee wa watu anajitaidi sana kufanya kazi,laiti mngelijua usiku na mchana umaskini wetu unamuuma sana,ila kwa kuwa mnajua kuropoka tuu,Dunia yote sasa inamatatizo ya Uchumi,angalia Marekani,Angalia Uingereza,kote uchumi unapumulia mashine na kushuka kwa ajira,hii imetokana na mambo mengi hasa kupanda kwa mafuta katika soko la dunia,pia kuyyumba kwa uchumi wa taifa la Marekani mzalishaji na muuzaji mkuu wa bdhaa za nje imezorotesha uchumi wa ndani,nenda Uganda kaone hali ya uchumi,nenda Kenya ,Nenda Malawi,Nenda Msumbiji,acheni uzushi,fanyeni tathmini kisomi,Dunia yote inapita kipindi kigumu,wenzetu Uingereza Dola lenye uchumi imara na mkubwa wananchi wanaandamana hakuna ajira,leo mnataka Kikwete afanye nini zaidi ya juhudi alizofanya?
 
Sasa mlitaka Rais asemeje? msimlalamikie Rais kwa kila jambo,fanyeni kazi kwa juhudi,sasa mtu unashinda Jamii forum kutwa nzima,unategemea unafuu wa maisha utoke wapi wakati watu sio wabunifu wanataka Kikwete awaletee hela majumbani,Pumbavu sana,Mzee wa watu anajitaidi sana kufanya kazi,laiti mngelijua usiku na mchana umaskini wetu unamuuma sana,ila kwa kuwa mnajua kuropoka tuu,Dunia yote sasa inamatatizo ya Uchumi,angalia Marekani,Angalia Uingereza,kote uchumi unapumulia mashine na kushuka kwa ajira,hii imetokana na mambo mengi hasa kupanda kwa mafuta katika soko la dunia,pia kuyyumba kwa uchumi wa taifa la Marekani mzalishaji na muuzaji mkuu wa bdhaa za nje imezorotesha uchumi wa ndani,nenda Uganda kaone hali ya uchumi,nenda Kenya ,Nenda Malawi,Nenda Msumbiji,acheni uzushi,fanyeni tathmini kisomi,Dunia yote inapita kipindi kigumu,wenzetu Uingereza Dola lenye uchumi imara na mkubwa wananchi wanaandamana hakuna ajira,leo mnataka Kikwete afanye nini zaidi ya juhudi alizofanya?

...nimeshindwa urais, najiuzulu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sijawahi mskia kikwete akiongea kitu cha maana zaidi uongo wake na kujichekesha chekesha rafiki akina dhando. Bakhresa na wengineo wamesaidi nini zaidi ya kutolipa kodi na kuwanyanyasa wazawa?

Tatizo la JK na serikali yake uwongo is the oder of the day kiasi kwamba hujui lakati gani anasema ukweli
 
Sijawahi mskia kikwete akiongea kitu cha maana zaidi uongo wake na kujichekesha chekesha rafiki akina dhando. Bakhresa na wengineo wamesaidi nini zaidi ya kutolipa kodi na kuwanyanyasa wazawa?

Kikwete nadhani anaishi katika dunia ya peke yake na sio hii sisi wananchi wengine tunayoishi na ndio maana hajui kwanini nchi yake ni maskini!! Hizi nchi zinazoendelea anaziziomba zitusaidie ni nchi maskini kirasilimali kuliko siisi; tatizo letu ni kutojua jinsi ya kuzitumia rasilimali hizi kwa faida yetu.Mfano hai ni jinsi ya kuwatumia wawekezaji wanaokuja kuwekeza hapa nchini; haingii akilini leo hii kuwapa kampuni ya marekani maelfu ya eka hukoMpanda ili waendeleze halafu faida yote wachukue wao eti tu kwasababu wameleta mtaji!! Viongozi wetu wangekuwa na akili wangelazimisha kuwa wawekezaji kwenye sector ya kilimo wakija lazima waingie ubia na wanavijiji ambao ardhi yao itatumika kulimwa na share holding iwe 50:50 kwana wanavijiji mchango wao ni ardhi yao na hao wawekezaji wanaleta Capital.Bahati mbaya viongozi wetu ni short sighted kwahiyo wao wanakula leo hawajali kesho watakula nini. Huko tuendako siku za mbele chakula kitakuwa adimu sana na ndio maana nchi kama zile za Uarabuni wanakuja huku kwetu na kuwatumia viongozi walafi ilil wawauzie ardhi kwa bei ya che ili walime na mazao hayo ya chakula baadae wayasafirishe nchini kwao; wananchi wakiwa part owners wa miradi hii nao pia watafaidika badala ya kuwa bystanders na kuzidi kuwa maskini huku ardhi yao ndio inayozalisha mali!! Kikwete kuomba omba kwa nchi zilizoendelea ni kuidhalalisha nchi yetu. Angalia hata kampuni inayochimba dhahabu nchini mpaka sasa hawajajiorodhesha kwenye Dar es Salaam Stock Exchange kwa kuogopa kuwa wananchi watajua jinsi wanavyochuma mali zetu kwani itawabidi wawasilishe mahesabu yao sokono!! Ajabu ilioje viongozi wetu bado wanatalii dunia nzima kutafuta misaada huku nchi imesheheni utajiri!!
 
Back
Top Bottom