Miaka50ya UHUNI
Member
- Oct 5, 2011
- 21
- 2
Katika kuhakikisha kuwa serilkali inaondokana na tatizo la watumishi hewa serikali imedhamiria kulipa mishahara ya watumishi
kupitia dirishani kuanzia mwezi huu.Je,ni njia sahihi ya kubaini watumishi hewa?[/QUOTE
Kikwete nae achukulie mshahara dirishani kwani na ni mtumishi hewa(NEC appointee)