Recent content by Mheshimiwa3

  1. M

    Sikujua mapenzi yana nguvu namna hii, nahisi kufa kufa

    Anaonekana hana uhakika wa yupi anamfaa hivyo anashindwa kuchagua aolewe na yupi hivyo wewe unatakiwa ufanye maamuzi magumu vinginevyo ataendelea kuwachanganya hata akiolewa na yeyote kati yenu.
  2. M

    Nimegundua mchezo mchafu wa mke wangu

    Kama mlifunga ndoa ya kidini lishirikishe dhehebu lake kwa sababu hata shetani akitubu anakuwa malaika.
  3. M

    I love u but i have no feeling with you

    M bake tu maana hukuna namna !
  4. M

    Nafurahia mapenzi nikiwa na binamu yangu kuliko mume wangu

    Nitumie number simu ya mumeo ili ufumbuzi upatikane, vinginevyo utaendelea
  5. M

    Nimueleweje huyu mwanamke?

    Hakuna kitu hapo tafuta ustaarabu mwingine Kahama hadi Tanga na mizinguo yote hiyo na hiyo U - turn ya Dodoma, achana nae!
  6. M

    Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

    Ni mahaba hayo wala sio vibaya anakuhamasisha ili usimchoke, yaani ukiona unavutiwa nae halafu unapiga kimoja kabla ya msosi !
  7. M

    Wanaume tuheshimiane

    MMU maana yake ni nini?
  8. M

    Wanaume tuheshimiane

    MMU ni nini?
Back
Top Bottom