Wanaume tuheshimiane

Wanaume tuheshimiane

Kanzu lazima upigwe! Hata huyo demu wako anajua ushawahi kupigwa kanzu na tobo!
 
Hapo lazima kaona huna fweza.....

Na kwa uzoefu wangu, maskini hawezi kuwa na mwanamke mrembo halafu akabaki salama!!
 
Za jioni wakuu
Mda huu baada ya kutoka viwanjani kwenye tsunami ya lowassa nilikua na mpenzi wangu mkali kweli sio utani ni mrembo balaa ana umbo zuri mno. Sasa tukapitia sehemu Fulani tupooze makoo yetu baada ya kumshangilia sana Lowassa wakuu tumeingia tuu macho yote ni kwetu si mnajua Mimi ni mtoto mdogo na yeye kanizidi (nilishawaelezea kwenye thread ya zamani). Tumepata vinywaji tumemaliza akaja waiter mmoja wa kike akamwambia kuna mwanaume kasema atalipia bili yetu tuendelee kunywa tu ila anaomba no za mpenz wangu. Wakuu my love akaninong'oneza. Nilipandwa na hasira yaan ilikua ninyanyuke ni mfate lakini nikatumia busara za Lowassa.
Nililipa bili tukasepa zetu Mbezi huku na hasira balaa. Yaani nipi nae nna hasira acha...

onyo Kwa wenye Tabia kama hizo tuache ni kudharauliana au?
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=860785

We ndo boya kweli.. umekataa ofa.. we ungekubali jamaa alipe bili.. unampatia namba ya gar kisha unasepa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom