Nimueleweje huyu mwanamke?

Nimueleweje huyu mwanamke?

Wewe wa ajabu sana.
Kitu chenywe kimejificha unatklaupewe kirhisi hivo??
Embu acha kulia lia kimbilia hapo City boys Mpesa kamtumie kama 200,000 kwa ajili ya shopping ya pweza ukifika ukute supu tayari

Duh.... mkuu wewe noma
 
Dogo hapo pakavu, nyota njema imeonekana asubuhi, kata, futa na empty recycle bin ili usiipate tena hiyo namba. Kama anakupenda asinge kuficha kwa dada yake, na ukiunganisha na hizi dots nyingine chapa lapa
 
Inaonekana una hasira za karibu..Kwani alivyokwambia atakuwa bize alikuwa anamaanisha husiende??

Alisema nisiende wiki hii haiko vizuri kwake.....
nisubiri wiki nyingine....
 
Distance Relationships are so hectic.
Achana na hayo mambo.
Tafuta mpenzi unapoishi.
 
Anakuwa positive kabisa ktk mazungumzo

Sa bro unataka mpaka akuambie mashine hii hapa, shona sasa dear wangu. Anataka ila anaona we ndo unazingua. Nenda Tanga ukale mnyama acha kushangaa utakuta mwana si wako washamchinja
 
Nenda nae kama anavyotaka yeye, ila siku ukimtia mikononi, mpige KIBOMBA mpaka akili imkae sawa.
 
wanawake bhana, ujanja wao nje tu lakini ukiwafungia ndani ghetto ujanja unawaisha, teh!
 
Inamaana hiyo wiki nyingine atakua haendi kazini??? Ana lake jambo huyo
 
Hakuna kitu hapo tafuta ustaarabu mwingine Kahama hadi Tanga na mizinguo yote hiyo na hiyo U - turn ya Dodoma, achana nae!
 
Back
Top Bottom