Kuhusu vyuo vikuu kukosa fedha usitie shaka maana vingi vitafungwa hivyo issue ya wengi kukosa mikopo itakuwa solved kama walivyoleta vigezo vipya vya mikopo au kuzuia ajira kwa kisingizio cha uhakiki watumishi hewa
Tungeweka juhudi katika usanii tukaachana na Michezo mingine maana hatuna vipaji upande huo ukweli tumesheheni vipaji kuanzia mwenyekiti wa mtaa hadi mkulu
Sirikali iko deki mbaya ndo maana kila kukicha wanatunga story mara uhakiki bado mara ajira tumalize uhakiki uhakiki wenyewe hauishi mara mikopo wananywea bia mara vigezo vipya mara viwango vya mikopo vishushwe porojo tu waliopata mikopo wenyewe kiuhalisia ni wachache sana kuliko idadi...
Wanasema mfalme anachotaka kusikia mchungaji msigwa alishasema tunajenga taifa la waoga na wanafiki imeanza kujitokeza angalia hata bodi ya mikopo wamefanya ambacho hawakuambiwa hii yote kujipendekeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.