Financial intermediaries hasa banks ni agents muhimu katika maendeleo ya uchumi wa nchi yoyote. Na hata economic recession ya Marekani 2007/2008 ilisababishwa na mabank kwa kiasi kikubwa pamoja na real estate. Huu ni mwaka wa kwanza tunaskia banki zinafilisika mfano Twiga Corps na FBME. Benki nyingine zinapumulia mashine huku nyingine zikihesabu hasara mfano CRDB na BARCLAY'S.
Ukiacha hayo hali ya kifedha vyuo vikuu ni mbaya zaidi wanafunzi 25,000 tu ndio waliopata mikopo huku takribani wanafunzi 60,000 wamekosa mikopo.
Sasa katika mazingira haya wahitimu wa vyuo vikuu wataajiriwa na kujiajiri wapi ilihari mabenki na biashara zinapoteza mitaji?
Kwa mazingira hayo je bado CCM wana pumzi ya kuiendesha nchi?
Ukiacha hayo hali ya kifedha vyuo vikuu ni mbaya zaidi wanafunzi 25,000 tu ndio waliopata mikopo huku takribani wanafunzi 60,000 wamekosa mikopo.
Sasa katika mazingira haya wahitimu wa vyuo vikuu wataajiriwa na kujiajiri wapi ilihari mabenki na biashara zinapoteza mitaji?
Kwa mazingira hayo je bado CCM wana pumzi ya kuiendesha nchi?