HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,553
Kwanza nionyeshe masikitiko yangu kwa mtu mwenye dhamana kubwa sana kuliko wengine katika kutekekeza wimbo wa Rais ( Tanzania ya viwanda) kufanya mzaha.
Katika kipindi cha mizani ya wiki kupitia Azam tv, ni dhahiri kabisa huyu sio waziri bali ni comedy, waziri anazungumza mambo muhimu kwa taifa lakini analeta mizaha ya kitoto, ana majigambo ya kitoto. Nilihisi Mbunge Komu ndio angeweza kuvuruga mjadala, ila ameonyesha ukomavu na staha kubwa sana utafikiri yeye ndio waziri kamili. Waziri yupo too emotional na kushindwa hata kuwa mtulivu kwenye jambo muhimu lenye maslahi kwa nchi, yeye anajua mwenzake kaja kubishana maswala ya ccm na ukawa.
Wazir huyu amekuwa mtu wa maringo na ujuaji kwa kisingizio cha ''experience'', lakini ukweli ni kwamba katika mawaziri mizigo huyu ni miongoni mwao.
Katika kipindi cha mizani ya wiki kupitia Azam tv, ni dhahiri kabisa huyu sio waziri bali ni comedy, waziri anazungumza mambo muhimu kwa taifa lakini analeta mizaha ya kitoto, ana majigambo ya kitoto. Nilihisi Mbunge Komu ndio angeweza kuvuruga mjadala, ila ameonyesha ukomavu na staha kubwa sana utafikiri yeye ndio waziri kamili. Waziri yupo too emotional na kushindwa hata kuwa mtulivu kwenye jambo muhimu lenye maslahi kwa nchi, yeye anajua mwenzake kaja kubishana maswala ya ccm na ukawa.
Wazir huyu amekuwa mtu wa maringo na ujuaji kwa kisingizio cha ''experience'', lakini ukweli ni kwamba katika mawaziri mizigo huyu ni miongoni mwao.