Barua fupi ya wazi Kwa Mh. Magufuli

TADPOLE

JF-Expert Member
Nov 18, 2015
2,796
9,037
Mtukufu Raisi Wangu Natumai Upo Mzima Wa Afya Ukiendelea Na Kazi Ya Kuinyoosha Nchi,bila Kupoteza Muda Mh.Raisi Najua Barua Yangu Hii Utaiona na Pia Kama Hutaiona Inshallah Mungu Atakuelekeza Yale Ntakayokwambia..
Mkuu Kiufupi Watanzania Wameshachoka Na Maisha Katika Muda Mfupi Wa Awamu Yako Na Hii Ni Kwasababu Kwa Sababu Hawaelewi Hatma Yao

Baba Kipindi Watu Wanalia Na Njaa Ndio Kipindi Wewe Upo Bize Katika Mchakato Wa Kujenga Uwanja Chato Kwa Gharama Kubwa..Niseme Tu Ukweli Kiwanja Hicho Hakitakuwa Na Umuhimu Endapo Raia Watakufa Njaa.

Mheshimiwa Rais Walimu Wa Masomo Ya Sanaa Hawaelewi Hatima Yao Wengi Wao Siku Hizi Ni Bodaboda

Baba Watu Wamekata Tamaa Badala Ya Kuwafariji Kwa Maneno Matamu Unawatia Uchungu Moyoni(kiufupi Yale Maneno Uliyoyatamka Kagera Si Mazuri Hata Kama Ni Utani Hii Ni Sawa Nakumwambia Mgonjwa Wa Tb Utakufa Kesho

Njaa Ipo Mlangoni Na Kwenye Ghala Kuna Tani 90,000 Tu Wakati Muda Kama Huu Mwaka Jana Kulikuwa Na 450,000 Tan Halafu Umezuia Import Wat We Gonna Do?

NB:[HASHTAG]#2020SILEWITENA[/HASHTAG].
 
Mtukufu Raisi Wangu Natumai Upo Mzima Wa Afya Ukiendelea Na Kazi Ya Kuinyoosha Nchi,bila Kupoteza Muda Mh.Raisi Najua Barua Yangu Hii Utaiona na Pia Kama Hutaiona Inshallah Mungu Atakuelekeza Yale Ntakayokwambia..
Mkuu Kiufupi Watanzania Wameshachoka Na Maisha Katika Muda Mfupi Wa Awamu Yako Na Hii Ni Kwasababu Kwa Sababu Hawaelewi Hatma Yao

Baba Kipindi Watu Wanalia Na Njaa Ndio Kipindi Wewe Upo Bize Katika Mchakato Wa Kujenga Uwanja Chato Kwa Gharama Kubwa..Niseme Tu Ukweli Kiwanja Hicho Hakitakuwa Na Umuhimu Endapo Raia Watakufa Njaa.

Mheshimiwa Rais Walimu Wa Masomo Ya Sanaa Hawaelewi Hatima Yao Wengi Wao Siku Hizi Ni Bodaboda

Baba Watu Wamekata Tamaa Badala Ya Kuwafariji Kwa Maneno Matamu Unawatia Uchungu Moyoni(kiufupi Yale Maneno Uliyoyatamka Kagera Si Mazuri Hata Kama Ni Utani Hii Ni Sawa Nakumwambia Mgonjwa Wa Tb Utakufa Kesho

Njaa Ipo Mlangoni Na Kwenye Ghala Kuna Tani 90,000 Tu Wakati Muda Kama Huu Mwaka Jana Kulikuwa Na 450,000 Tan Halafu Umezuia Import Wat We Gonna Do?

NB:[HASHTAG]#2020SILEWITENA[/HASHTAG].
Mkuu Tadpole, pole. Natumaini mwenyewe amesikia na ujumbe wako umemfikia.

Ila pia hayo aliyoyasema ndio ukweli wenyewe na mwenyewe ameishathibitisha kuwa yeye ni ukweli na ukweli wenyewe ndio huo aliousema.

Watanzania tulizoea kudekezwa kwa kubembelezwa bembelezwa na kuishia kudanganywa, sasa ametokea mtu anayesema ukweli bila kuremba, watu mnakasirika.

Aliyoyasema Kagera ndio ukweli wenyewe kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe! kwa sababu tetemeko halijaletwa na yeye au na serekali yake! .

Kama mtu anaumwa ugonjwa ambao hawezi kupona na yuko terminal ill, kitu pekee cha kumfariji ni kumweleza ukweli kuwa atakufa ili aanze kujiandaa kwa maisha yabaadae badala ya kumdanya au kumtia moyo wa uwongo kuwa atapona ilihali unajua atakufa.

Kama kuna njaa, hao wenye njaa nao kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, kwani hiyo njaa imesababishwa na yeye au na serikali? .

Na ikitokea watu wamekufa njaa hiyo itakuwa ndio siku yao imefika na kifo hicho ndicho walichoandikiwa, kila mtu atakufa siku yake ikifika na kifo chake ni kile kile alichoandikiwa!.

Pole tena ila ukweli ndio huo na ukweli unauma ila ndio ukweli wenyewe.

Paskali.
 
Katika viongozi wetu wakuu; ni watatu walijaaliwa karma ya utani na akitania hata mtoto mchanga alijua kabisa kiongozi kachomeka mzaha na kila mtu alicheka kwa furaha na kuendelea na mambo yake.

Namba moja alikuwa Jemedari Mwl. Julius K. Nyerere, pili, Mh. Jakaya M. Kikwete, na tatu Mh. Ali H. Mwinyi. Hawa kweli walijua utani; ni wakati gani "uchomekwe"; kwa lugha gani; wapi; na kwa hadhira ipi na hata body language ipi. Linapokuja suala la utani, walilimudu jukwaa vilivyo. Na hata ilipobidi kuutumia utani kwa mambo serious waliwezea vilivyo.

Kwa mfano; Mwl alitangaza vita na Idd Amin kimzaha kabisa ila mzaha uliowaandaa wananchi kisaikolojia japo lilikuwa jambo zito pengine kushinda mengine yote tangu uhuru hadi leo.
 
Mkuu Tadpole, pole. Natumaini mwenyewe amesikia na ujumbe wako umemfikia.

Ila pia hayo aliyoyasema ndio ukweli wenyewe na mwenyewe ameishathibitisha kuwa yeye ni ukweli na ukweli wenyewe ndio huo aliousema.

Watanzania tulizoea kudekezwa kwa kubembelezwa bembelezwa na kuishia kudanganywa, sasa ametokea mtu anayesema ukweli bila kuremba, watu mnakasirika.

Aliyoyasema Kagera ndio ukweli wenyewe kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe! kwa sababu tetemeko halijaletwa na yeye au na serekali yake! .

Kama mtu anaumwa ugonjwa ambao hawezi kupona na yuko terminal ill, kitu pekee cha kumfariji ni kumweleza ukweli kuwa atakufa ili aanze kujiandaa kwa maisha yabaadae badala ya kumdanya au kumtia moyo wa uwongo kuwa atapona ilihali unajua atakufa.

Kama kuna njaa, hao wenye njaa nao kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, kwani hiyo njaa imesababishwa na yeye au na serikali? .

Na ikitokea watu wamekufa njaa hiyo itakuwa ndio siku yao imefika na kifo hicho ndicho walichoandikiwa, kila mtu atakufa siku yake ikifika na kifo chake ni kile kile alichoandikiwa!.

Pole tena ila ukweli ndio huo.

Paskali.
Paskali bhana ....kwahiyo ata hospitali kuanzia sasa wakimaliza kukupima na kukuta una virusi vya ukimwi wawe wanamwambia mgonjwa kua jiandae kufa pia selikari ianze kurusha matangazo kua wenye ukimwi wote mnakaribia kufa.....aaah Mwaafaaaa
 
Mkuu Tadpole, pole. Natumaini mwenyewe amesikia na ujumbe wako umemfikia.

Ila pia hayo aliyoyasema ndio ukweli wenyewe na mwenyewe ameishathibitisha kuwa yeye ni ukweli na ukweli wenyewe ndio huo aliousema.

Watanzania tulizoea kudekezwa kwa kubembelezwa bembelezwa na kuishia kudanganywa, sasa ametokea mtu anayesema ukweli bila kuremba, watu mnakasirika.

Aliyoyasema Kagera ndio ukweli wenyewe kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe! kwa sababu tetemeko halijaletwa na yeye au na serekali yake! .

Kama mtu anaumwa ugonjwa ambao hawezi kupona na yuko terminal ill, kitu pekee cha kumfariji ni kumweleza ukweli kuwa atakufa ili aanze kujiandaa kwa maisha yabaadae badala ya kumdanya au kumtia moyo wa uwongo kuwa atapona ilihali unajua atakufa.

Kama kuna njaa, hao wenye njaa nao kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, kwani hiyo njaa imesababishwa na yeye au na serikali? .

Na ikitokea watu wamekufa njaa hiyo itakuwa ndio siku yao imefika na kifo hicho ndicho walichoandikiwa, kila mtu atakufa siku yake ikifika na kifo chake ni kile kile alichoandikiwa!.

Pole tena ila ukweli ndio huo.

Paskali.
GOD EYES on you! malipo ni hapa hapa duniani, ni sawa ni kumkashfu mlemavu kwa ulemavu wake kwakuwa tu sio wewe uliempa huo ulemavu, HAKIKA KWA ULICHOANDIKA Mungu ninae muamini atakujibu.
 
GOD EYES on you! malipo ni hapa hapa duniani, ni sawa ni kumkashfu mlemavu kwa ulemavu wake kwakuwa tu sio wewe uliempa huo ulemavu, HAKIKA KWA ULICHOANDIKA Mungu ninae muamini atakujibu.

Pascal is right. Watanzania tumezoea kudanganyana hadi tunapenda viongozi waseme uongo.
 
Paskali bhana ....kwahiyo ata hospitali kuanzia sasa wakimaliza kukupima na kukuta una virusi vya ukimwi wawe wanamwambia mgonjwa kua jiandae kufa pia selikari ianze kurusha matangazo kua wenye ukimwi wote mnakaribia kufa.....aaah Mwaafaaaa
Virusi vya ukimwi sio ugonjwa ni virusi tuu, na ugonjwa wa ukimwi sio unaoua, ila mgonjwa yoyote akifikia stage ya kuwa terminally ill, the best thing ni kuambiwa ukweli na ndugu pia wakaambiwa ukweli ili wajiandae, japo ni ukweli mchungu na ukweli unauma ila ndio ukweli wenyewe! .

Paskali
 
Mkuu Tadpole, pole. Natumaini mwenyewe amesikia na ujumbe wako umemfikia.

Ila pia hayo aliyoyasema ndio ukweli wenyewe na mwenyewe ameishathibitisha kuwa yeye ni ukweli na ukweli wenyewe ndio huo aliousema.

Watanzania tulizoea kudekezwa kwa kubembelezwa bembelezwa na kuishia kudanganywa, sasa ametokea mtu anayesema ukweli bila kuremba, watu mnakasirika.

Aliyoyasema Kagera ndio ukweli wenyewe kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe! kwa sababu tetemeko halijaletwa na yeye au na serekali yake! .

Kama mtu anaumwa ugonjwa ambao hawezi kupona na yuko terminal ill, kitu pekee cha kumfariji ni kumweleza ukweli kuwa atakufa ili aanze kujiandaa kwa maisha yabaadae badala ya kumdanya au kumtia moyo wa uwongo kuwa atapona ilihali unajua atakufa.

Kama kuna njaa, hao wenye njaa nao kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, kwani hiyo njaa imesababishwa na yeye au na serikali? .

Na ikitokea watu wamekufa njaa hiyo itakuwa ndio siku yao imefika na kifo hicho ndicho walichoandikiwa, kila mtu atakufa siku yake ikifika na kifo chake ni kile kile alichoandikiwa!.

Pole tena ila ukweli ndio huo na ukweli unauma ila ndio ukweli wenyewe.

Paskali.

Kaka mayalla umeongea vema lakini hivi binadamu aliye timamu anaweza ku act vile kwa watu waliokumbwa na kadhia ile?wamepoteza ndugu zao,mali zikiwemo nyumba,vyakula pamoja na mbegu za mazao!Leo hii anafyatuka na kukomelea msumari wa moto kwenye kidonda,hao watu watainuka vipi?hakika alipotoka tRNA mno.Angekuwa hataki kutoa msaada wa chakula,ujenzi wa nyumba zilizoharibika basi angefanya yafuatayo:
1.Asingehimiza kampeni ya kitaifa ya kuwachangia waathirika.
2.Angeweka bayana kuwa watu wapeleke misaada kwa wahusika pasi kupitia serikalini.
3.Angevunja kamati ya maafa kwani haina kazi tena

4.Niishie hapa kwani hisia zishaanza kunitawala nahofu kumchefua faru nisijenaswa na wale vijana wa miwani myeusi kwa madai ya uchochezi+kumkashifu Yohana.
 
Acha kujitoa ufahamu ili uweze kuganga njaa yako. Rais anatakiwa kuwahamasisha wananchi wake kutumia hekima na busara kubwa kila anapoongea na siyo kuwashangaa kwa kukumbwa na maafa ambayo walikuwa hawana jinsi ya kuyazuia.

Serikali zote duniani husaidia raia wake pale wanapokumbwa na balaa lolote lile iwe njaa au tetemeko.

Mkuu Tadpole, pole. Natumaini mwenyewe amesikia na ujumbe wako umemfikia.

Ila pia hayo aliyoyasema ndio ukweli wenyewe na mwenyewe ameishathibitisha kuwa yeye ni ukweli na ukweli wenyewe ndio huo aliousema.

Watanzania tulizoea kudekezwa kwa kubembelezwa bembelezwa na kuishia kudanganywa, sasa ametokea mtu anayesema ukweli bila kuremba, watu mnakasirika.

Aliyoyasema Kagera ndio ukweli wenyewe kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe! kwa sababu tetemeko halijaletwa na yeye au na serekali yake! .

Kama mtu anaumwa ugonjwa ambao hawezi kupona na yuko terminal ill, kitu pekee cha kumfariji ni kumweleza ukweli kuwa atakufa ili aanze kujiandaa kwa maisha yabaadae badala ya kumdanya au kumtia moyo wa uwongo kuwa atapona ilihali unajua atakufa.

Kama kuna njaa, hao wenye njaa nao kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, kwani hiyo njaa imesababishwa na yeye au na serikali? .

Na ikitokea watu wamekufa njaa hiyo itakuwa ndio siku yao imefika na kifo hicho ndicho walichoandikiwa, kila mtu atakufa siku yake ikifika na kifo chake ni kile kile alichoandikiwa!.

Pole tena ila ukweli ndio huo na ukweli unauma ila ndio ukweli wenyewe.

Paskali.
 
Kaka mayalla umeongea vema lakini hivi binadamu aliye timamu anaweza ku act vile kwa watu waliokumbwa na kadhia ile?wamepoteza ndugu zao,mali zikiwemo nyumba,vyakula pamoja na mbegu za mazao!Leo hii anafyatuka na kukomelea msumari wa moto kwenye kidonda,hao watu watainuka vipi?hakika alipotoka tRNA mno.Angekuwa hataki kutoa msaada wa chakula,ujenzi wa nyumba zilizoharibika basi angefanya yafuatayo:
1.Asingehimiza kampeni ya kitaifa ya kuwachangia waathirika.
2.Angeweka bayana kuwa watu wapeleke misaada kwa wahusika pasi kupitia serikalini.
3.Angevunja kamati ya maafa kwani haina kazi tena

4.Niishie hapa kwani hisia zishaanza kunitawala nahofu kumchefua faru nisijenaswa na wale vijana wa miwani myeusi kwa madai ya uchochezi+kumkashifu Yohana.
Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!.
 
Back
Top Bottom