Hakuna Mvua, njaa imeingia. Umesema serikali haina Shamba! Huu ni mtihani, Mungu hajaribiwi

Lancashire

JF-Expert Member
Sep 20, 2014
14,045
10,329
Habari za muda wakuu,

Kama tunavyojua Mkuu Mtukufu sana amesema hakuna chakula cha msaada na kwamba Serikali haina Shamba,

Watu waende mashambani wakalime. Naona ni kama Mungu anaamua kumpa mtihani mkuu wa nchi maana mpaka muda huu tunaoongea maeneo mengi nchini hayana kabisa mvua au wanapata za rasha rasha .

Hii ni ishara kwamba Mwaka huu kutakuwa na njaa isiyo na mfano. Sasa sijuwi tutakwenda wapi jamani na tumeshaambiwa hakuna msaada wa chakula.

Mh. Rais tunaomba ubadili maamuzi yako uweze kutusaidia hali ni mbaya sana kwa sasa Gunia la mahindi ni Laki moja na elfu Thelathini na hakuna dalili ya kupata mvua za kutosha mwaka huu.
Twafaaaaa.
 
Habari za muda wakuu,

Kama tunavyojua Mkuu Mtukufu sana amesema hakuna chakula cha msaada na kwamba Serikali haina Shamba,

Watu waende mashambani wakalime. Naona ni kama Mungu anaamua kumpa mtihani mkuu wa nchi maana mpaka muda huu tunaoongea maeneo mengi nchini hayana kabisa mvua au wanapata za rasha rasha .

Hii ni ishara kwamba Mwaka huu kutakuwa na njaa isiyo na mfano. Sasa sijuwi tutakwenda wapi jamani na tumeshaambiwa hakuna msaada wa chakula.

Mh. Rais tunaomba ubadili maamuzi yako uweze kutusaidia hali ni mbaya sana kwa sasa Gunia la mahindi ni Laki moja na elfu Thelathini na hakuna dalili ya kupata mvua za kutosha mwaka huu.
Twafaaaaa.
Kwani serikali ina shamba?
 
Huyu mzee anataka kuua watu tu hakuna cha kunyoosha wala nn,njaa haina mbabe aelewe hilo
 
Habari za muda wakuu,

Kama tunavyojua Mkuu Mtukufu sana amesema hakuna chakula cha msaada na kwamba Serikali haina Shamba,

Watu waende mashambani wakalime. Naona ni kama Mungu anaamua kumpa mtihani mkuu wa nchi maana mpaka muda huu tunaoongea maeneo mengi nchini hayana kabisa mvua au wanapata za rasha rasha .

Hii ni ishara kwamba Mwaka huu kutakuwa na njaa isiyo na mfano. Sasa sijuwi tutakwenda wapi jamani na tumeshaambiwa hakuna msaada wa chakula.

Mh. Rais tunaomba ubadili maamuzi yako uweze kutusaidia hali ni mbaya sana kwa sasa Gunia la mahindi ni Laki moja na elfu Thelathini na hakuna dalili ya kupata mvua za kutosha mwaka huu.
Twafaaaaa.
Uko zaidi ya sahihi.lakini swali ni je atatulisha nini na kutoka wapi?kwa mliomchagua mlikubaliana awalishe?maana nijuavyo si shule wala hospitali chakula cha serikali kilikoma kitambo sana.kwa hiyo akili mkichwa.
 
Shamba la serikali ni walipa kodi, huko ndiko anakovuna. Tusidanganyane eti serikali haina shamba.
 
Uko zaidi ya sahihi.lakini swali ni je atatulisha nini na kutoka wapi?kwa mliomchagua mlikubaliana awalishe?maana nijuavyo si shule wala hospitali chakula cha serikali kilikoma kitambo sana.kwa hiyo akili mkichwa.
Vipaumbele kaka vupaumbe.chagua kupanda ndege au kula chakula upate nguvu ya kutafuta pesa ukanunue bombardier.
 
Huu mchezo hauhitaji hasira namba tunaisoma wote wa lumumba na walalahoi ile 2020 tujifunze ukistaajabu ya juma pombe utaona ya mamvi
 
  • Thanks
Reactions: bb7
Vipaumbele kaka vupaumbe.chagua kupanda ndege au kula chakula upate nguvu ya kutafuta pesa ukanunue bombardier.
Sawa kabisa.ila ulishawahi shuhudia chakula cha msaada?mfano kwenye kambi za wakimbizi?Mkuu ni zaidi ya mateso usiombe kuwa hapo!!pamoja tuombe Mungu kikombe tusikinywee.
 
Habari za muda wakuu,

Kama tunavyojua Mkuu Mtukufu sana amesema hakuna chakula cha msaada na kwamba Serikali haina Shamba,

Watu waende mashambani wakalime. Naona ni kama Mungu anaamua kumpa mtihani mkuu wa nchi maana mpaka muda huu tunaoongea maeneo mengi nchini hayana kabisa mvua au wanapata za rasha rasha .

Hii ni ishara kwamba Mwaka huu kutakuwa na njaa isiyo na mfano. Sasa sijuwi tutakwenda wapi jamani na tumeshaambiwa hakuna msaada wa chakula.

Mh. Rais tunaomba ubadili maamuzi yako uweze kutusaidia hali ni mbaya sana kwa sasa Gunia la mahindi ni Laki moja na elfu Thelathini na hakuna dalili ya kupata mvua za kutosha mwaka huu.
Twafaaaaa.
Yatupasa tuombe tu rehema kwa Mungu,yawezekana kuna sehemu tumekosea au hata hatujakosea lakini Mungu kaamua tu kutujaribu ili tuuone ukuu wake,maana sie wanadamu tuliumbwa na tukapewa akili na pia kumbukumbu. Mbaya zaidi tulipewa kitu kinaitwa KUSAHAU,saa zingine tunapofanikiwa au Mungu anpotubariki na baraka zikatujalia,sie wanadamu huwa tumsahau Mungu. Yamkini,tumepewa baraka na Mungu ,tujisahau hadi tukamsahau yeye alietupa hizo baraka. Mungu kaamua kuchapa tu vijibakora na si bakora ukweli hizi...bado ni rasharasha,sasa ni wakati wa kuomba rehema,tuachane na majivuno ya kufikiria kama tulishayavuka majaribu,kana kwamba hatujaribiwi!!! Sisi ni wanadamu,majaribu kwetu ni kawaida ili tuuone ukuu wa Mungu!
Huu si wakati wa kulaumiana,si watawala na si watawaliwa,huu ni wakati wa kuomba rehema na naamini Mungu ni mwingi wa rehema hili nalo tutalivuka na tutavuka salama.
Hili ni jaribu kwa utawala wa awamu ya TANO,sio siri na wala haiitaji PHD kulijua hilo, tupige magoti kumuomba Mungu atuvushe salama. Tusimchokoze kwa kauli za kumjaribu,narudia tena,Mungu ni mwingi wa rehema ila hajaribiwi.

Mungu bariki watanzania wote,tusame pale tulipokukosea, shusha baraka zitokazo kwako,tunaona hili balaa likitunyemelea la njaa,wewe u bab na tunaamini kupitia kwako hakuna kishindikanacho,Mungu shusha mvua ya kutosha,mazao yakamee mashariki,magharibi,kusini na kaskazini. Hakuna mtanzania hata mmoja atakufa kwa njaa tukiamini kupitia wewe.
Ameeen.
 
Back
Top Bottom