Recent content by Mgosi Mokiwa

  1. Mgosi Mokiwa

    Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo

    Kuna tetesi kuwa gazeti la JAMHURI lisionekane mitaani leo kwani lishanunuliwa au kukusanywa na wenye nchi.Kisa na Mkasa?Jimbo la uchaguzi Chalinze. Inasemekana kuwa gazeti hilo ambalo ni maarufu kwa kuchimbua ukweli wa ndani limewechufua wenye nchi na kijana wao ambae anataka kugombea ubunge...
  2. Mgosi Mokiwa

    Nape Nnauye: Process ya kumfukuza mtu CCM ni ndefu

    Kweli kabisa process ni ndefu sana lakini ipo fupi nikukolimba mwanachama!
  3. Mgosi Mokiwa

    Wazee CCM: Pinda kuwa rais wetu 2015

    Mwe mwe,chonde chonde Ambiere Msuya tutachapwa viboko sana jamani !!!!!!!!!!!!!!!!!!!:shocked::disapointed:
  4. Mgosi Mokiwa

    Siipendi CCM,ila namkubali sana Steven Wassira

    Inawezekana na wewe ni mzee wa usingizi kama yeye.Si unajua bana 'Like poles attract each other......'
  5. Mgosi Mokiwa

    Hatua hii ya Kenya itaiimarisha EAC

    Kumbukumbu za waliovunja Community ipo;wanachofanya ni unafiki wa hali ya juu.Huyu mama alifuata mambo ICC tu hayo ya community alichomekea tu.
  6. Mgosi Mokiwa

    Lazima rais Jakaya Kikwete asaini mswada ili jipu lipasuke

    Atake asitake kidagaa kitamwozea tu
  7. Mgosi Mokiwa

    Mkuu wa wilaya Korogwe (Gambo)na vioja vyake kila kukicha!!!!!

    Walimu wasikubali kutii amri ya DC huyu.Sheria ya ELRA ya 2004 ipo wazi kwamba mfanyakazi hawezi kukatwa mshahara wake bila ridhaa ya maandishi;anayekiuka hilo anaweza kushtakiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi.Usipodai haki yako hakuna atakayedai kwa niaba yako
  8. Mgosi Mokiwa

    Kagame's true colors!

    Are you one of his sympathiser or cohort.If you are not you better take history lessons about Kagame.To me he is simply an accomplished butcher and dictator.
  9. Mgosi Mokiwa

    Hongera CCM Mabaraza ya Katiba. Vyama vingine igeni mfano

    What?Spoon feeding your members what to say you call it collecting views on Katiba?You are wasting your time.People have already said what they want.
  10. Mgosi Mokiwa

    Taifa Stars – tatizo ni Kim Poulsen?

    Hivi kwanini watanzania hawataki kukubali kuwa watanzania hatujui kucheza mpira?Kwa nini hatukubali kuwa ni lazima tupande halafu ndio tuvune?Je tunawachezaji wanaoweza kucheza vikombe vya afrika chini ya U17,U20 na U23?Lini tumeshiriki mashindano hayo?Kidato cha kwanza hukufika unataka...
  11. Mgosi Mokiwa

    Serikali Tatu ni Gharama- Sadifa

    Serkali tatu si gharama kwa mfano serkali ya Tanganyika inaweza kuwa na Wizara 15 na ile ya muungano inakuwa na wizara 10 au chini.Je ukilinganisha wizara zilizopo sasa na pendokezo langu ni ipi ina gharama?Hii issue ya kuvunja muungano naikubali sana hasa wakiingia wakorofi kama Maalim Seif...
  12. Mgosi Mokiwa

    President Paul Kagame responds to Jakaya Kikwete on FDRL comments 'utter nonsense'

    Huyu ni muuaji kama FDRL na kila siku amekuwa anadanganya watu kwa kung'ang'ania historia ya mauuji wakati yeye alishiriki katika genocide. JK katoa ushauri mzuri sana ingawa hataki kusikia.
  13. Mgosi Mokiwa

    Katiba mpya yaipasua CCM

    Issue kubwa hapa ni ubinafsi wa CCM ambao walifanya siasa ni yao.Hao wanawake si wamewekewa nafasi zao kuna tatizo gani?Tatizo walizoea dezo na kupata ubunge kwa njia ya mgongo ushindani hata na wanawake wengine hawauwezi!! Watanzania wameongea na watahakikisha matakwa yao yanasimama.
  14. Mgosi Mokiwa

    Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

    Kifungu cha maraisi katika rasimu ya katiba yetu inanakera sana.Tutakuwa na maraisi wangapi?Ingekuwa vizuri kama tungekuwa na rais mmoja tu na nchi ya Tanganyika na Zanzibar zingeendeshwa na Mawaziri Viongozi kwa kimombo Chief Ministers
  15. Mgosi Mokiwa

    Tanzania yaongoza kwa umaskini Afrika Mashariki

    Hata Rwanda imetushinda!!Wakati wa uhuru TZ na Malaysia tulikuwa sawa kiuchumi lakini leo wenzetu wako juu.Tunalana gani?
Back
Top Bottom