President Paul Kagame responds to Jakaya Kikwete on FDRL comments 'utter nonsense'

Hana lolote huyu Jamaa!

Yako mambo mengi yanamfanya ausike moja kwa moja na 1994 Rwanda Genocide.

JK kawaambia UKWELI.
 
kama umeifuatilia vizuri hist ya rwanda hutaweza kupingana na kageme yupo sahihi kabisa ntarahamwe ni kundi lakigaidi kikwete pitia tena histo ndio unene mahakama za gacaca nitofauti na hawa ntarahamwe

mmarekani anaongea na Taliban ili wayamalize itakua hao jamaa wapinzani wa kagame? Kagame anapenda shari sana huyo jamaa. We are going to kick his a$$ one day soon.
 
I am the most CCM critic but on this one i am solidly behind our Men and Women in uniforms who are fighting to retain PEACE in DRC.We need to support them no matter what,We have to put our ideological differences aside and stand united against the ENEMIES of peace in this region.That's what we call it a PATRIOTISM.I love you Tanzania,the land of heroes.I love our Men and Women in uniforms,Fight for our flag,Fight for the region's peace and fight for Africa's tranquility.
 
Kagame mbona unalalamika sana kwa kauli hii ndogo sana kuna nini? Unaogopa nini?ukweli ni mzoga! Utauficha wee lakini kuna siku watu watasikia harufu.

Mizoga ya akina Habyarimana inatuletea harufu toka kuzimu na haitaacha kunuka hadi ukweli uanikwe na haki itendeke.

Binafsi nasumbuliwa sana na harufu ya mzoga wa profesa wetu wa UD. Najiuliza na sie watz tukiachwa to live our way na kudai haki ya uhai wa profesa wetu,what will happen to u?

Stay tuned Mr president,this is just the beginning,'cause WHAT GOES AROUND...
 
Pamoja na tofauti zangu juu ya CCM na Rais Kikwete kwa ujumla; kwa hili, napingana na kile Kagame alichokisema. Lugha iliyotumiwa na Kagame sio ya kidplomasia na inaonyesha dhahiri dharau zake zidi ya Rais Kikwete.

Lakini kama kweli anataka amani ya kudumu basi ana budi kufuata huo ushauri. Tumeona leo kule Afghanistan, Marekani wanatafuta njia ya kuwashirikisha Taliban katika serikali. Kagame inabidi afike sehemu, akubali kwenda mbele na kutafuta muafaka wa kudumu.

Poor JK should go back to the school of diplomatic studies Kurasini to sharpen his now vividly dipping diplomatic skills!! "Utter nonsense"; OMG!! thats an embarassment of Tsunami proportions from a fellow EAC President;

My Take: JK should learn to preach what he practices; Not otherwise; How come JK instead of NEGOTIATING with the people of Mtwara is sending more and more security and military personell to Mtwara to intimidate the people and now the gas issue is seemingly getting out of hand!!

JK; We have a yet to be resolved issue with Malawi; it is unwise to start generatting another hot spot with another neighbour and particulary in the name of Kagame; a known no nonsense, hard nosed military man;

Please make time to sit down with M7 of Uganda for a good measure of Kagame.
 
Pamoja na tofauti zangu juu ya CCM na Rais Kikwete kwa ujumla; kwa hili, napingana na kile Kagame alichokisema. Lugha iliyotumiwa na Kagame sio ya kidplomasia na inaonyesha dhahiri dharau zake zidi ya Rais Kikwete.

Lakini kama kweli anataka amani ya kudumu basi ana budi kufuata huo ushauri. Tumeona leo kule Afghanistan, Marekani wanatafuta njia ya kuwashirikisha Taliban katika serikali. Kagame inabidi afike sehemu, akubali kwenda mbele na kutafuta muafaka wa kudumu.

Ni kweli FastJet alikuwa Sahihi ila kwasababu ya matendo yake ndo maana Kagame anadiriki kumtolea maneno ya dharau kama hayo fikiria angekuwa mwalimu ameongea hivyo huyu Kagame angekuwa na ujasiri wa kumtolea maneno ya dharau kama hayo? Respect is earned not given
 
Rais Kagame akimshauri Rais Kikwete kuhusu kumaliza vuguvugu la Mtwara,naye 'atukanwe'? President Kagame's comments are neither diplomatic nor respectful
 
Anae bisha na kuleta kejeli juu ya kauli ya kikwete ajiulize anafaidika na nini kwa wakongo kuuwawa na askri wa kagame? Lakhni mwisho wa siku kagame atambue kuwa sisi ni taifa kubwa tunaweza hata yeye kumwondoa madarakani na kumweka mtu wetu kama tulivyo fanya uganda kongo na burundi

Mkuu hata hyo kabila ni we2 pia,2lmsaidia miaka ile kijeshi kwani baada ya kumalza mafunzo ya kijeshi dodoma Tanzania(Maku2pora) alikwenda rwanda na wanajeshi wa tanzania,kwa wale mpo na kumbukumbu mtaelewa kile nasema,kiburi imejaa kwa hyo mtu ila atajua kile wa2 wanafanya pale iko betrayal kwao.
 
Kagame naona anasahau historia kwamba sisi we dictate the great lake region tunaweza mweka madarakani yeyote tumtakae asisahau tulicho fanya kongo,uganda etc

Ilikua Enzi za Kiongozi Makini Mwalimu Julius Kambarage Nyerere sio enzi hizi za Raisi anayepewa jina la Ndege (FastJet) kwasababu ya uzururaji those groly days are no longer there
 
Hakuna cha ushauri, wakati tumeshindwa kukaa na wanaMtwara meza moja kutatua tatizo la Gass. Viva Kagame

nilichokinasa kwa kagame ni kuwa jasiri kufanya yetu bila kutegemea misaada na kuwa waadilifu kwenye maswala ya maendeleo but about our TZ boss it was just an advice and not a decision so why that critism?
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom