Wanakuwa na meditation kubwa ko hupelekea kufall in love real hvyo kupelekea kufanya crazy love na hvyo kuwadatisha wadada.Hii ilishanitokea kwa bi Dada mmoja niliekuwa nae kwenye mahusiano may she rest in peace an alikuwa akitaka kuja geto lazima anambie nivute na alikuwa anapenda mnoo nivute.....
Niko singo sababu sijui kupenda yan nishaulazimisha moyo sana lkn nilishashindwa kupenda ko naonja onja tu inapobidi na baridi hii ya Mwanza leo sijui....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.