Kizazi cha sasa huwezi acha ongelea Neha Kakkar na Shreya Ghoshal kwa wanawake . Ukiwasikia hawa sauti zao live utaamini bongo hakuna waimbaji bali wote ni wakuchota na kusukuma ndani.
Jeshi la police Tanzania lijitafakari sana, la sivyo litafanya kazi katika mazingira magumu sana.
Ikumbukwe: Jeshi la police haliwezi kufanya kazi bila ushirikiano na raia
Salaam wakuu!
Nahitaji Fundi mzoefu wa Flat Tv. Tv yangu ni aina ya TECHWOOD 32" .. Tatizo ni power.
Kama yuko tayar kunitengenezea nyumbani kwangu ni PM .
Nyumbani ni Mjimwema Kigamboni
NB. Nauli nagharamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.