Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Bwana mkubwa kila anaemtumia kwa masilahi yake, huwa anampa chochote na hasa vyeo kama shukrani bila kujali anamtumia kutenda mema au mabaya.
Kwa msingi huo, naona kuna uwezekano mkubwa boss wa mjengoni ameahidiwa kupewa cheo cha PM hapo mwakani kama fadhila kwa kazi anayoifanya.
Kama si hivyo, basi atakuwa amevuta mkwanja mrefu mpaka sasa kutoka kwa bwana yule.
Mtu huyu hawezi kujitoa akili kwa kiasi hiki bila kuwa na msukumo wowote.
Naomba niishie hapa.
Time will tell.
Kwa msingi huo, naona kuna uwezekano mkubwa boss wa mjengoni ameahidiwa kupewa cheo cha PM hapo mwakani kama fadhila kwa kazi anayoifanya.
Kama si hivyo, basi atakuwa amevuta mkwanja mrefu mpaka sasa kutoka kwa bwana yule.
Mtu huyu hawezi kujitoa akili kwa kiasi hiki bila kuwa na msukumo wowote.
Naomba niishie hapa.
Time will tell.