Wilaya ya Ilala ni kubwa ambayo inahusisha mjini kwa maana ya kariakoo na posta pamoja na miji ya pembezoni kama Tabata, Segera, Kinyerezi, Maramba, Kitunda yote hadi Kivule,Ukonga, Gongo la mboto na vitongoji vyake ikiwa ni pamoja na chanika na maeneo mengine kama majohe pugu bomba mbili bwera...
Jimbo la ukonga ambalo mbunge wake ni mh jerry slaa lina miundombinu ya barabara ambayo ni mibovu labda kuliko majimbo yote ya Dar es Salaam.
Barabara ya banana- kitunda mashimo matupu.
Barabara ya mombasa hadi bombambili ni shida kubwa
Barabara ya kampala hadi bwera ni shida
Barabara ya...
Barabara za jimbo la Ukonga zote mbovu sijui tumekosea wapi.
Wakati katika majimbo mengine ukarabati wa barabara upo kwa kasi kubwa ni tofauti kabisa kwa jimbo la Ukonga.
Mbunge wetu ebu tusaidie wananchi wako.
Nataka kufungua drycleaner maeneo ya majohe-Gongo la mboto.
Nahitaji dobi ambaye atafua nguo kwa kutumia mashine na kunyoosha.
Mwenye sifa hizo piga 0788 200 767
Naombeni ushauri hospital nzuri kwa matibabu ya corona kwa waliopitia jaribu hili ni ipi?
Naomba ushauri wenu nina mgonjwa ana dalili zote nataka nimpeleke.
Au kama kuna dawa ya tiba mbadala inayosaidia katika hatua za awali nisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.