Recent content by mge

  1. M

    Barabara za Jimbo la Ukonga zote mbovu

    Jerry slaa mbunge wetu uko wapi???
  2. M

    Barabara za Jimbo la Ukonga zote mbovu

    Barabara za jimbo la Ukonga zote mbovu sijui tumekosea wapi. Wakati katika majimbo mengine ukarabati wa barabara upo kwa kasi kubwa ni tofauti kabisa kwa jimbo la Ukonga. Mbunge wetu ebu tusaidie wananchi wako.
  3. M

    Natafuta dobi wa kufua na kunyosha nguo

    Asante kwa ushauri wako kaka. Lakini bado nahitaji dobi ambaye anajua kunyoosha nguo za aina tofauti
  4. M

    Natafuta dobi wa kufua na kunyosha nguo

    Uzoefu wa kunyoosha nguo.
  5. M

    Natafuta dobi wa kufua na kunyosha nguo

    Nataka kufungua drycleaner maeneo ya majohe-Gongo la mboto. Nahitaji dobi ambaye atafua nguo kwa kutumia mashine na kunyoosha. Mwenye sifa hizo piga 0788 200 767
  6. M

    Kubadilisha brake lining na kutumia Disc

    Nina gari Toyota pick up vigo (2005). Natamani kubadilisha brake za nyuma zitumie disc badala ya brake lining zilizopo Nifanyeje wapendwa? Naomba nishaurini tafadhali kama inawezekana
  7. M

    Wapi naweza kupata huduma ya xray ya haraka kwa DSM?

    Wapi naweza kupata huduma ya xray ya haraka kwa DSM?
  8. M

    Naomba kujuzwa hospitali nzuri kwa matibabu ya Corona

    Naombeni ushauri hospital nzuri kwa matibabu ya corona kwa waliopitia jaribu hili ni ipi? Naomba ushauri wenu nina mgonjwa ana dalili zote nataka nimpeleke. Au kama kuna dawa ya tiba mbadala inayosaidia katika hatua za awali nisaidie.
  9. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO TUAMBIENI UKWELI LEO SIKU YA TATU TUNALALA BILA UMEME GONGO LA MBOTO , MAJOHE NA MAENEO MENGINE ...KUNA NINI????
  10. M

    Nauza mafuta ya kupikia ya mawese

    Unapatikana wapi? Weka mawasiliano basi
  11. M

    Nyumba inauzwa Mbezi mwisho Malamba mawili

    Dakika 20 kutoka wapi
Back
Top Bottom