Mwangi T.
Senior Member
- May 30, 2014
- 100
- 57
Pamoja na kuwa jimbo hili limeongozwa na chama twala kwa miaka yote isipokuwa mitano tu tangia nchi ipate uhuru wake lakini bado limekuwa la mwisho kimandeleao jijini Daresalaam!
Kwa Upande wa miundombini hsa barabara imekuwa ndio kilio cha miaka mingi kwa wakazi wa jimbo hili.
Ukiacha barabara kuu ya Nyerere inayotokea mjini kuelekea Pugu na barabara inayoanzia Pugu kuelekea Chanika jimbo halina barabara kabisa!
Hali ni mbaya maeneo ya Kivule-Msongola, hali ni mbaya zaidi maeneo ya Mbondole, Bomba mbili, Zingiziwa, M'bande-Msongola na meneo mengi ya jimbo hili.
Mbunge wetu wa sasa ameendele kujichotea umaarusfukwenye serikali hii ya mama tangu alipokuwa waziri wa ardhi mpaka sasa alipohamishiwa wizara ya habari!
Ingekuwa nafuu sana kwa watu wa Ukonga endapo umashuhuri wa bwana Jerry Silaa mbunge wa Ukonga ungeendana na hali ya maendeleo ya jimbo hili tofauti na hivi ilivyo sasa.
Mwisho niwaombe tu wenye mamlaka juu ya miundombinu mkumbuke pia kuwa hata Ukonga tunaishi binaadamu hata kama Mbunge wetu hatusemei.
Kwa Upande wa miundombini hsa barabara imekuwa ndio kilio cha miaka mingi kwa wakazi wa jimbo hili.
Ukiacha barabara kuu ya Nyerere inayotokea mjini kuelekea Pugu na barabara inayoanzia Pugu kuelekea Chanika jimbo halina barabara kabisa!
Hali ni mbaya maeneo ya Kivule-Msongola, hali ni mbaya zaidi maeneo ya Mbondole, Bomba mbili, Zingiziwa, M'bande-Msongola na meneo mengi ya jimbo hili.
Mbunge wetu wa sasa ameendele kujichotea umaarusfukwenye serikali hii ya mama tangu alipokuwa waziri wa ardhi mpaka sasa alipohamishiwa wizara ya habari!
Ingekuwa nafuu sana kwa watu wa Ukonga endapo umashuhuri wa bwana Jerry Silaa mbunge wa Ukonga ungeendana na hali ya maendeleo ya jimbo hili tofauti na hivi ilivyo sasa.
Mwisho niwaombe tu wenye mamlaka juu ya miundombinu mkumbuke pia kuwa hata Ukonga tunaishi binaadamu hata kama Mbunge wetu hatusemei.