Baadhi ya wanaoitwa kuripoti kazini huwa hawaendi kutokana na may be kupata sehemu mbili tofauti, au kunyinimwa ruhusa kutoka kwa mwajiri wake Wa zamani, maana sio wore wanaopata kazi ni walikuwa hawana kazi kuna baadhi wanatoka makazini, so kama kuna mmoja hajaripoti taarifa inatolewa na wao...
Wako viongozi South Africa Walipitia Viunzi vya kisiasa lakini Viunzi walivyopitia ni tofauti na Viunzi vya kijinga vinavyoaendeshwa na GL, Siasa za Kijinga zisizo na tija kwa mwananchi wa kawaida.
Kila Wizara ina afisa habari, ni jukumu lake kuwatafuta waandishi Wa habari, anajukumu la kuitaarifu umma kila kinachotokea Katika wizara, tunasema ni ziara ya kushtukiza kwakuwa Kule anakotembelea Hawana taarifa ya ujio wake, ila Waandishi wa habari na Idara ya habari ya Wizara inajua leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.