Kubenea apandishwa Mahakamani leo

Kubenea apandishwa Mahakamani leo

Huyu hana lake...naamini chini ya utawala wa Magful atachinjiwa baharn, na hata cheo cha balozi wa nyumba10 hatapata tena...
 
Kwa kosa lipi? hivi huyu makonda anatumia Logic ipi huyu? !
 
Tukitaka kuwa na Tz nzuri isiyo na kina Makonda tuwe na katiba nzuri. Hii ya sasa ina element za kikoloni na ndio mwanya wa ma RC, DC na hata RPC wanautumia kuudhalilisha upinzani ilhali upo kisheria
 
Watu wengine wanadhani kwamba ukishakua mbunge basi upo juu ya sheria, hii ni tafsiri ya ukawa wote.
 
nasikia na watumishi watakaochelewa kazini mahabusu..
ivi hawajui ubabe huzaa ubabe ?
nilichagua mwenye busara,sikushiriki kuchagua vichaa..
thanks God.
 
Niseme tu kuwa sasa nimeanza kumchukia Magufuli.

No kweli kabisa. Hata mtaani kama mnaishi na MTU mwema tena pengine ni mzee wa kanisa au ana cheo msikitini, lakini kumbe ana mitoto mijizi, vibaka na watukanaji na yeye hataki kuwarudi wala kuwaonya lazima chuki zihamie kwake
 
Tukitaka kuwa na Tz nzuri isiyo na kina Makonda tuwe na katiba nzuri. Hii ya sasa ina element za kikoloni na ndio mwanya wa ma RC, DC na hata RPC wanautumia kuudhalilisha upinzani ilhali upo kisheria

kwani mkoloni aliondoka lini? Hii katiba siliandikwa na warioba 1977? Leo warioba kawa mkoloni? Tusipoangalia tutafungwa wengi.
 
Sasa naye Magu yuko wapi kuweka watu wenye weledi? Duh Ngoma ikisifiwa sana..................
 
Makonda yuko saw a, hata kama ungekuwa wewe. Ni mwenyekiti wa kijiji acha mkuu was wilaya kitendo cha mbunge kukuita Kibaka ni utovu wa nidhamu, acha aswekwe ndani huyo ni haki yake
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.
Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu
Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili

Paul Makonda ajiangalie sana kasi ya magufuli isije ikampitia. badala ya kufanya kazi za wananchi anawahangaisha bila sababu za msingi. huyu mbwa ana hatari sana.
 
Last edited by a moderator:
Makonda yuko saw a, hata kama ungekuwa wewe. Ni mwenyekiti wa kijiji acha mkuu was wilaya kitendo cha mbunge kukuita Kibaka ni utovu wa nidhamu, acha aswekwe ndani huyo ni haki yake

Kwani kubenea alimwita kibaka??? Aaah kama unamwita mkuu wa wilaya kibaka tena...hayo maneno wapi na wapi??
 
Kwa shtaka gani?
Inasemekana kuwa huyo DC Makonda ameframe charge ya kuwa Kubenea amemtukana kuwa yeye ni mjinga sana!
Duh................. kazi kweli kweli............. kama kila anayeitwa mjinga hapa jijini Dar angefungua mashitaka, basi ingekuwa balaa kubwa.............
 
Watu wengine wanadhani kwamba ukishakua mbunge basi upo juu ya sheria, hii ni tafsiri ya ukawa wote.

Na hata ukiwa Mkuu wa Wilaya pia hauko juu ya sheria.Ninachokiona ni Makonda hajamuelewa Magufuli.Angeenda kwa Magufuli akampa tuition
 
Inasemekana kuwa huyo DC Makonda ameframe charge ya kuwa Kubenea amemtukana kuwa yeye ni mjinga sana!
Duh................. kazi kweli kweli............. kama kila anayeitwa mjinga hapa jijini Dar angefungua mashitaka, basi ingekuwa balaa kubwa.............

Ukitukana si unaenda polisi kushtaki and then mahakamani,sasa hii ya kujichukulia sheria mikononi duh.Halafu ukisha frame wakati kulikuwa na mashahidi inaelekea miavuli ya Magufuli mingine ni mibovu ya kutupa tu
 
Back
Top Bottom