Tanesco Ilembula kuna shida gani? Umeme unakatika karibu kila siku na bila maelezo yoyote, hali hii hamuoni km ina athari kubwa kiuchumi? Pia maeneo mengine umeme unapokatwa, taarifa hutolewa mapema, je kwa Ilembula sio jambo la muhimu? Au tusubiri ziara ya rais ndio tuje tutoe malalamiko yetu...
Tofauti na zamani, siku hz vifo vya wazazi na watoto wachanga vimepungua, na sababu mojawapo ni kiumarishwa kwa Huduma za upasuaji ktk vituo vyetu vya kutolea huduma, na takwimu zipo, aidha Hakuna mama anajichagulia afanyiwe upasuaji bila sababu za msingi. Km kuna may amefanya tafiti...
Wakibana matumizi ya kununua madiwani, wabunge na kuacha kurudia chaguzi bila sababu za msingi hakutakua na haja ya mkopo, na hata wakikopa km trend ni hii hii, hata kulipa tutashindwa.
Hivi polisi wa Tz wanapata faida gani kwa kuukandamiza upinzani? Wanai support CCM kwa sababu maisha yao ni mazuri na hawahitaji mabadiliko au ni nini? Kwa nn wasitende haki tu? Imagine unaua raia mwenzio afu unarudi nyumbani na amani kisa CCM, kweli?
Si kwamba anawakosesha watu usingizi isipokua inasikitisha kwa mtu ambaye ana credibility km yeye kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri hasa kwenye mambo ya msingi, I was real trusting him sasa nimemfuta. Nb mm si CHADEMA lkn kwenye issue za msingi we have to stand as a country.
Du! Hongera Dc, mchamgo wa harusi ndo unamuahidi na kazi? na kwamba m 2 haitoshi uko tayari kuongeza akikuandikia barua? Kwa nn unakua km mtoto? You better resign kujenga heshima ili kumjengea present heahima.
Ni kweli but Mara nyingi studies huwa zinaangalia percentage, yaani waliofanikiwa at 45 against wasiofanikiwa,so msibeze na you have to work hard kabla ya huo umri,kwanza hata kwa akili ya kawaida jinsi umri unavosonga ndo majority performance yetu inapungua na huo ndo ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.