J.Muro ana ushawishi kiasi gani?

J.Muro ana ushawishi kiasi gani?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Kwa nini chadema wamehamaki sana na huyu jamaa? Wengi wameongea lkn hkn mtu ambaye mpaka sasa amewatoa chadema shimoni kama huyu, kuna anayejua labda zaidi for starters?
 
Sasa kwa nini anawakosesha chadema Amani namna hii? Siku nzima jf imejaa post kumhusu yeye tu, kwa nini?
Aliyekwambia wanaomjibu huyu juha ni CHADEMA nani?

Huyu mpumbavu anajulikana kwa maneno ya ki papuchi ya mama yake tangu yanga huko.

So anapingwa na watu wote wenye akili,hata si CHADEMA.Ni mjinga tu ndo ataunga upuuzi wake wa kuhamasisha mauaji kwa wakosoaji.


Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwa nini anawakosesha chadema Amani namna hii? Siku nzima jf imejaa post kumhusu yeye tu, kwa nini?


Ulitaka hao CDM wakae kimya wasijibu pumba zake mkuu?
 
Aliyekwambia wanaomjibu huyu **** ni CHADEMA nani?

Huyu mpumbavu anajulikana kwa maneno ya ki papuchi ya mama yake tangu yanga huko.

So anapingwa na watu wote wenye akili,hata si CHADEMA.Ni mjinga tu ndo ataunga upuuzi wake wa kuhamasisha mauaji kwa wakosoaji.


Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app


Lkn kwa mfano mimi siwezi kusema kitu halafu JF yote siku nzima ikahamia kunishambulia, hivyo ni lzm ana ushawishi sasa ni upi huo na kwa nini? Hapo ndipo sielewi!
 
Sasa kwa nini anawakosesha chadema Amani namna hii? Siku nzima jf imejaa post kumhusu yeye tu, kwa nini?
Si kwamba anawakosesha watu usingizi isipokua inasikitisha kwa mtu ambaye ana credibility km yeye kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri hasa kwenye mambo ya msingi, I was real trusting him sasa nimemfuta. Nb mm si CHADEMA lkn kwenye issue za msingi we have to stand as a country.
 
hana influenc yoyote labda kwa mapunga wenzie
 
Barbarosa INA MANA MTU AKIKUTISHIA KIFO HUCHUKUI HATUA? MURO SYO KWAMBA ANA USHAWISH, ILA KAULI ZAKE CHAFU HAZIPASWI KUFUMBIWA MACHO
 
Wewe una ushawishi gani mpaka watu zaidi ya kumi wanakoment kwako? Jiangalie wewe kabla hujamwangalia mwingine
 
1. Unaelewa maana ya mtu kuwa na ushawishi..??

2. Unaelewa hali ya mtu kumkosesha amani mtu mwingine inavyokuwa..??

3. Umesoma na kudadavua comments zinazom-criticize..??

Hta wewe ukiandika pumba utajadiliwa siku nzima. Ila kwa sababu wewe HUJULIKANI, unaweza usijadiliwe sana, ila kwa sababu mwenzako anajulikana, ndo maana watu wanamjadili kwa kushangaa upumbavu wake.
 
1. Unaelewa maana ya mtu kuwa na ushawishi..??

2. Unaelewa hali ya mtu kumkosesha amani mtu mwingine inavyokuwa..??

3. Umesoma na kudadavua comments zinazom-criticize..??

Hta wewe ukiandika pumba utajadiliwa siku nzima. Ila kwa sababu wewe HUJULIKANI, unaweza usijadiliwe sana, ila kwa sababu mwenzako anajulikana, ndo maana watu wanamjadili kwa kushangaa upumbavu wake.


Na ndiyo maana nikauliza ni lazima atakuwa na ushawishi kwani haiwezekani akaiteka JF yote, kafunika mpaka habari za Tundu Lisu, JF yote yeye tu ndo ana trend, na ndo maana nikauliza!
 
KUHUSU JERI MURO tumuulize swahiba ake ni le
-mutu

au tumuombe MANGE KIMAMBI ndo anajua in and out za MURO
 
Back
Top Bottom