Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,797
- 12,239
Hii imekaaje?! Tume ya uchaguzi ya Kenya imekataa kuwaruhusu wataalm wa Odinga (NASA) kukagua computer yao kwa madai kuwa server yao iko Ulaya! Hii ni kinyume na amri ya Mahakama ya Rufaa iliyowataka Tume kuwaruhusu NASA kukagua computer hizo!
My take: Tume inataka kuficha nini?
My take: Tume inataka kuficha nini?