Tume ya Uchaguzi Kenya yadai server ya matokeo iko Ulaya! Tume inataka kuficha nini?

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,797
12,239
Hii imekaaje?! Tume ya uchaguzi ya Kenya imekataa kuwaruhusu wataalm wa Odinga (NASA) kukagua computer yao kwa madai kuwa server yao iko Ulaya! Hii ni kinyume na amri ya Mahakama ya Rufaa iliyowataka Tume kuwaruhusu NASA kukagua computer hizo!

My take: Tume inataka kuficha nini?
 
Back
Top Bottom