Recent content by Mfyatuaji

  1. Mfyatuaji

    Kijana Benjamin Fernandes ameleta wanafunzi wa chuo cha HARVARD na STANFORD kupanda Mt. Kilimanjaro

    Huyu kijana ni wa kipekee sio akina nyani ngabu, wabebaji mabox na kutetea ukabila nchini
  2. Mfyatuaji

    Tundu Lissu anapambana na udikteta unaolivaa taifa letu, tumuunge mkono

    Viva Lissu, Mungu atakulinda... tunakupenda sana
  3. Mfyatuaji

    Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

    Baba yako akiuza nyumba, huna uwezo wa kumfukuza mwenye nyumba kwa sababu nyumba ilikua ya Baba
  4. Mfyatuaji

    Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

    Watu wasioitaikia amani nchi yetu wana njia nyingi za kutumia, wakiona plan A imeshindwa wanakuja na plan B ambayo ndio hii ya kutaifisha mali za watu wanazomiliki kihalali
  5. Mfyatuaji

    Wanaoshangaa Tanzania kuomba Afrika Kusini huenda wakawa hawajui haya

    Haya mambo yakukomboa nchi za watu ni kujitafutia matatizo, tumeikomboa znz, wazanzibari mpaka leo wanatuona wabara ni chanzo cha kuharibu nchi yao na maendeleo, tumeikomboa Msumbiji, leo hii wa tz wanafukuzwa kule kama mbwa wanaonekana ni wezi tu, tueikomboa South Africa, nimetoka karibuni...
  6. Mfyatuaji

    Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

    wanawake wa kibongo hawataki hayo mambo, watakuona mshamba...... Fezaaaaaaaa
  7. Mfyatuaji

    Winnie Mandela's 80th bday

    Wewe kweli tumbili(kama unavyojiita), habari ya mwaka jana unatuletea leo, we need hot cake!
  8. Mfyatuaji

    Kwa baba tuko watano, kwa mama wanne..

    Wasomali na Waarabu sio Waafrika???
  9. Mfyatuaji

    Iphone 6s plus

    ni pm nikuuzie yangu iko bomba kuliko hiyo….. 6 plus, 64gb space grey
  10. Mfyatuaji

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Kwani hakuna wizara na waziri anaye deal na haya mambo….. Au kila sekta ni yake???
  11. Mfyatuaji

    Marafiki wa Nape: Kwanini Nape hakutulia?

    Kipi hicho kilichombadili? kitaje
Back
Top Bottom