Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

Bro hiyo no 3 umezingua.unawaimiza vijana wa fake
 
Hivi vitu vyote vilivyoandikwa vinawezaje kufanyika ndani ya dk 3?
 
Mkuu ni kweli for da first time inafaa kuanzia, but kwetu watoto wa kitaa mbona zipo namna nyingi tu za kuwaingiza kwenye nyavu.
 
Habarini wakuu,

Swali la utongozaji limekuwa mtihani mkubwa kwa wengi.
Hii imekuwa sababu ya wengi kununua makahaba au wengine kuamua kuwa watumwa Wa punyeto.

Madhara yake ni mengi kama vile ukimwi Na uhanisi.
Leo nitaeleza kwa ufupi namna unavyoweza mvutia mwanamke yeyote,Hata yule unayemuona super beautiful ndani ya muda mfupi sana dakika tatu.Na kukuta umepewa Huduma Hata siku high hiyo.( King's)gttuuuyyyuy

1.jiaminiView attachment 507908
Nina maana muonyeshe mwanamke unajua unachotaka.pia huna hofu.muangalie machoni, hakikisha yeye anaweza kukuangalia kwa kuibia,hivyo usimtumbulie macho sana.

2.kuwa msafi
Haina maana upake mapoda,kuwa simple oga,chana nywele vaa nguo safi,zingatia viatu mwanamke lazima aangalie miguu yako!!

3.ongea kwa sauti nzito
Kamwe usifanye mwanamke ahisi yupo Na mwanamke mwenzie.

4.usiombe namba ya simu omba mtoko
Wanaume wengi huomba number,hapa mwanamke lazima umsisimue maana alichofikiria sio ulichofanya.akiweza kukubali uwezekano Wa kupewa malavidavi usiku Huo huo ni mkubwa.

5.ingia akilini mwake
Jenga ukaribu kwa kumfanyia vitu Vingi ndani ya muda mfupi.mfano unaweza ukacheza nae mziki kisha ukamnunulia kinywaji Na kumnywesha hapo hapo ukamsindikiza maliwato Na kadharika,zingatia mandhari.

6.msifie kwa kitu mahususi
Usimwambie umependeza,Sema macho yako yanavutia kama umekula kungwi!

7.mfurahishe
Ukiweza mchekesha mwanamke kwa mitindo mbalimbali akitoka hapo lazima akufikire!!

8.usitabilike
Sio umeona demu mkali unakuwa zuzu Na kuropoka kila kitu kukuhusu,unaua mdadiso kwa mwanamke, utakuwa huna jipya tena!!

9.mfanye awe roho juu
Mwambie kuna kitu anacho kinachokufanya uvutike nae,lengo hapa ni kumpa jakamoyo,siri ni kuwa usimtajie hicho kitu,utakuwa umempa kazi ya kukutafuta kwa hiyo hana budi kuwa karibuni Na wewe!!!

10.usimgande
Kuwa Na maisha yako.sio kila wakati umetuma sms, umepiga simu,kuwa busy!

11.cheza Na hisia zake
Mfanye afurahi dakika moja ingine awe Na huzuni.wanawake wanapenda drama.

12.kuwa kiongozi
Mfanye maisha yake uwe muamuzi wake!,ndio, mchagulie nguo ya kuvaa!,mkosoe,msifia,hii itamfanya kila jambo lazima akuombe ushauri,hivyo hawezi kwenda mbali nawe,sio unamuuliza mwanamke twende wapi,mwambie Leo tunaenda twanga pepeta.

14.mfanye awe Na wivu
Ongea zaidi Na rafiki zake Wa kike ikiwa yupo nao!!!yes,hii itamfanya apiganie nafasi yake,si unajua wachezaji wanavyogombania namba??matokeo ni kuwa lazima upewe mahaba Niue.

Kuanzia Leo kuwa Na uhakika Wa kumpa mwanamke umtakaye Na akugande kama kupe.

Chaoo!
Yote haya ufanye kwa dakika tatu? Haya mambo sio ya kutia moyo hata kidogo
 
wanawake wa kibongo hawataki hayo mambo, watakuona mshamba...... Fezaaaaaaaa
 
hawa wanawake wa jf wanaosoma huu uzi tutawambia nin? make tayari usha disclose hyo tech?
 
wanawake wa kibongo hawataki hayo mambo, watakuona mshamba...... Fezaaaaaaaa
Hapanaaaa! Msanii mmoja aliimba njiwa hana pesa lakn naye anawake tunduni, hivyo fanya mengine kwanza fedha iwe ya mwisho. Nakuhakikishia wenye fedha wengi hutumia pesa km chambo tu, but mwishoni ni majuto kwa wenza wao. Siwezi kukulazimisha uliamini hilo, ila ukweli ndio huo.
 
tofauti na wallet mengine ni kelele tu

240923.jpg
halafu wewe bullar !!
 
Hapanaaaa! Msanii mmoja aliimba njiwa hana pesa lakn naye anawake tunduni, hivyo fanya mengine kwanza fedha iwe ya mwisho. Nakuhakikishia wenye fedha wengi hutumia pesa km chambo tu, but mwishoni ni majuto kwa wenza wao. Siwezi kukulazimisha uliamini hilo, ila ukweli ndio huo.
Mkuu umemaliza
 
Vipi nikitumia kizizi si naopoa kirahisi mkuu hata nisipokuwa na FWEDHA...
 
Hakuna formula ya kutongoza ndio maana kila siku ukianza kutongoza ni kama unajifunza.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Back
Top Bottom