Recent content by mfukoz

  1. M

    Geographical science knowledge

    INFOBRIDGE CONSULTANTS LTD In Collaboration with MUST COLLEGE Are organizing an evening MONTHLY GIS DAY – TECHNICAL SESSION THEME Basic Satellite Image Processing DATE: 01 March 2013, Friday TIME: 14:00-15:00 PM VENUE: MUST Colllege, Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam PARTICIPANTS...
  2. M

    Gis day technical session

    INFOBRIDGE CONSULTANTS LTD In Collaboration with MUST COLLEGE Are organizing an evening MONTHLY GIS DAY – TECHNICAL SESSION THEME Basic Satellite Image Processing DATE: 01 March 2013, Friday TIME: 14:00-15:00 PM VENUE: MUST Colllege, Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam PARTICIPANTS...
  3. M

    New courses spatial information technologist

    Read: ​BE a Spatial Information Technologist MUST College offers a short Course for Professionals Course Contents include: 1. Basic GIS Using MapInfo 2. Basic GIS Using ArcGIS 2. Global Positioning System (GPS) 3. Satellite Image Applications with ENVI and ERDAS software 4...
  4. M

    Open opportunity for proffessional

    Read: MUGEREZI SPATIAL TECHNOLOGIES (MUST COLLEGE) BE a Spatial Information Technologist MUST College offers a short Course for Professionals Course Contents include:1. Basic GIS Using MapInfo2. Basic GIS Using ArcGIS2. Global Positioning System (GPS) 3. Satellite Image Applications...
  5. M

    Mafunzo haya pia yanafaida kwetu

    Hello wanajamii:Kwa yeyote anayehitaji kupata mafunzo ya BASIC APPLICATION OF GIS IN(ARCGIS SOFWARE &MAP INFO PROFESSINAL) na DATA CAPTURE(ukusanyaji wa taarifa kwa kutumia) technologia ya GPS na MOBILE MAPPING tuwasiliane kupitia no. 0766628699&0655628699
  6. M

    Tukio kubwa duniani kwa umma wa watanzania wapenda maenseleo

    Jiunge na mamilioni ya watu Duniani kote kusherehekea Siku ya GIS duniani, Jumatano, 14 Novemba 2012, Hotel ya Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam, Tanzania. Madhumuni ya siku hii ni ‘Kusogeza GIS kwa Jamii’. Kuwafahamisha, kuwaelimisha na kuwaonyesha Watanzania matumizi na faida ya sasa na...
  7. M

    ArcGIS 10 INSTALATION

    Kama uko serious tuwasiliane kwa simu no.0766628699
  8. M

    Kwa nini ujiunge na chuo hiki

    Habari wana Jukwaa la Elimu: KWA NINI UJIUNGE NA MUGEREZI SPATIAL TECHNOLOGIES (MUST COLLEGE) Kila mtu anataka na anatamani kufanikiwa. Kijana aliyemaliza elimu ya sekondari na ambaye matokeo yake hayakuwa mazuri. Hakuchaguliwa kwenda kidato cha 5 au chuoni, anakata tamaa na kwa kweli...
  9. M

    Cr officer anahitajika(kabanga nickel mining)

    Poa kaka jaribu na imani utapata.
  10. M

    Cr officer anahitajika(kabanga nickel mining)

    Hellow wanajamii Forum mtu yeyote aliyekuwa tayari kufanya kazi Ngara(In Kabanga Nickel Mining) na mwenye sifa asome tangazo hilo.Sorry hilo tangazo nimetumiwa likiwa limegeuzwa.Read and Apply soma kwenye ATTACHMENTS.
  11. M

    Muhimu kujua hili kwa faida yetu

    Habari wanajamii Forum:Nia yangu nikuwafahamisha kuwa kwenye Kampuni yetu ya InfoBridge inayojihusisha na mambo yote ya husuyo ardhi/uso wa dunia na Mazingira yake(SPATIAL TECHNOLOGY IN GEOGRAPHICAL INFORMATION SYSTEM),tunazo data zote zinazounda sura ya nchi yetu kwa maana ya MIPAKA SAHIHI YA...
  12. M

    ArcGIS 9.2 training for those interested

    me nataka kuja kufundisha version 10
  13. M

    Tuzungumze watanzania linatuhusu sote

    Wapendwa Watanzania, hasa Wataalamu wa sekta ya Ardhi: Town Planners, Surveyors, Land Officers, Valuers, Estate Agents. Mbona tumekaa kimya wakati Ardhi Yetu Tanzania inaumia na kuumizwa? Ardhi inaumia na watu wake wanaumia. Madaktari (wataalamu tumekaa kimya!) Tuanzishe sasa Hospitali ya...
  14. M

    Kwa form 4 na wapenda elimu kwa faida ya taifa letu soma hapa tafadhari

    Yah: UTAMBULISHO WA CHUO - MUST COLLEGE Mugerezi Spatial Technologies – MUST College ni Chuo kilichosajiliwa na VETA na kinatoa masomo ya mwaka mmoja katika fani mpya ya “Spatial Information Technologies” mafunzo yanatolewa kwa Mfumo wa Umahiri (Competence skill) kwa wanafunzi waliomaliza...
  15. M

    Jamani jamani msaada wa haraka kwa matokeo haya!.

    Ushauri aende palanye UBUNGO PLAZA kuna chuo kinaitwa MUST COLLEGE kinato Spatial Technology na kimesajiliwa na VETA.Kuna mdogo wangu alipata matokeo kama hayo amejiunga pale na anamaliza mwezi wa 8 na akifanya vizuri anaendelea na Diploma katika vyuo ambavyo viko chini ya NACTE kama Ardhi...
Back
Top Bottom