Recent content by mficha sukari

  1. mficha sukari

    JamiiForums Tanzania Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kuna hili tatizo la mlundikano wa wafungwa magerezani, hasa wale wenye vifungo vidogo ( miaka mitatu kushuka chini) Serikali iwezeshe idara ya vifungo vya nje,...kwa kuongeza wafanyakazi na vitendea kazi. Hakuna sababu ya kuendelea kuwa na miji michafu, wakati watu wakufanya usafi wamejazana...
  2. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kubeba handbag ya mdada ni tatizo?

    Kuna siku nilienda kumtembelea boyfriend, sasa mda natoka kwake yeye akawa yuko kama hatua kumi mbele yangu mimi nilikuwa na mdada wa saluni nachukua namba za simu kuna rasta nataka nimwagize. Sasa ile namaliza kuchukua namba mbele kulikuwa na mijibaba kibao kwenye Grocery inamshangaa hatari...
  3. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni halali kwa Baba kumuanulia kambani chupi bintiye?

    Mi nafuaga za house girl wetu wa Oysterbay...kiroho safi
  4. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila kitu anaripoti kwa Mchungaji

    Eti siongei na wenye dhambi.....imagine hayo maneno angesema Yesu kwa watoza ushuru. Dah haya makanisa ya sikuhizi sijui yanafundisha nini
  5. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I am in love with my brother

    Yesu aludi jamani
  6. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bosi anamkosesha raha

    Hatari, mwambie rafiki yako anyoooshe maelezo asikufiche kitu....hapo kuna issue
  7. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekuwa mtumwa wa wanawake

    Ni Yesu tu mkuu, anayeweza kukutoa huko, Hata mimi nilikuwa kama wewe, ila baada ya kulikili jina la Yesu kwamba ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu... Kila kitu kimebadilika katika maisha yangu.
  8. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Husband divorces his wife after the ceremony for texting friends on wedding night

    Ile sherehe ya harusi inaisha tuuuu, bibie yupo instagram anapost mapicha... What a shame!!
  9. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka nimpe ujauzito

    Mkuu kupachika mimba ni staili za kizamani, kwani akiwa na mtoto ndio utamfunga awe wa kwako? Kama ataweza kukusubiri for 2 years huyo anakupenda kwa dhati. Mwanamke asiye na mipango na maisha ni wakuogopa kama ukoma.
  10. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vyakula vya kusaidia wanaume

    Wanaume wa Dar.. Piteni hapa
  11. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

    Umefanya maamuzi sahihi sanaaaaaa. Hongera, ni heri kuishi peke yako kuliko kuishi na fedhuli aliyekosa adabu kama huyo.
  12. mficha sukari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Younger Men Kudate Na Sisi Wadada Wakubwa Ndo kusema Nyie Wadogo Hawawaoni Au??? Mpaka Watufate Sie

    Watoto hawana akili za maisha
  13. mficha sukari

    JamiiForums Tanzania Haidar Gulamali akutwa amehifadhi tani 154 za Sukari huko Dodoma

    Hatariiiiiiiiiiiiiii
Back
Top Bottom