Asante sana hii ni zinga la somo.Hapo cha kufanya kwa huyo prof ni swala moja ,kuna virus ambayo anakula files nakubakisha zile ambazo ni za aina yake kama ni the same donor. Sasa chakufanya wacheki kama prof iyo memory yake ni NTFS au ni FAT sasa waformat kwakutumia command prompt ili ku force hyo jina ya huyo shost ako liondoke kwenye memory ya prof maana bila hvyo ,kichwa kinakuwa kizito na anashindwa kufanya mambo mengine ndio maana kutwa anashinda anaandika tu jina hilo. Na mkicheza hapo ubongo uki corrupt ndio ile mambo ya Paralyse inakuja kutokea
Sky Eclat mekumic dia vip upo.Asante sana hii ni zinga la somo.
Pole sawa wngu ntakusaidia kuyakabua.Nipo maisha yamekaba kiaina.
hmmm,yaani alikosea tu,huenda alikuwa anakufikiria sana.Mmmmm mbaya hiyo,boss wangu alikosea kumuita jina mkewe akamuita jina langu kimakosa mbona mke alikuja kunitafuta
kazini eti nimweleze why mumewe kaniita jina langu,alinitukana mpaka alipo maliza akaondoka,sikumjibu manake mumewe nilikua namuheshimu sana na pia nilikua nakwenda kusoma sasa sikutaka kisirani cha kitu kizima, so mwambie shosti wako wala asijitie BP hutokea...
Unahisi nini kimbaya au kizuri kinaweza kutokea kwa shosti yako kwa kuwa boss wake kakariri middle name ya rafiki yako?.Yaani boss wa rafiki yangu amepata uchizi anachokumbuka ni middle name ya shost.
Unahisi nini kimbaya au kizuri kinaweza kutokea kwa shosti yako kwa kuwa boss wake kakariri middle name ya rafiki yako?.
Nauliza Tu
Kumbe huko makazini huwa mnadrive waume za watu crazy!!!Mmmmm mbaya hiyo,boss wangu alikosea kumuita jina mkewe akamuita jina langu kimakosa mbona mke alikuja kunitafuta
kazini eti nimweleze why mumewe kaniita jina langu,alinitukana mpaka alipo maliza akaondoka,sikumjibu manake mumewe nilikua namuheshimu sana na pia nilikua nakwenda kusoma sasa sikutaka kisirani cha kitu kizima, so mwambie shosti wako wala asijitie BP hutokea...
Bhasi si mbaya boss wake kakariri hilo jina alilopewa na waziza wakeSi hisi chochote lakini maajabu hili jina hata mume wake halitumii ni jina la bibi yake alipewa akiwa mdogo kwa kifupi ni wazazi wake ndiyo wanalitumia sana.
Sijui kaandika lugha gani!Nin
Nini hiki mbona sielewi??