Ushauri: Nataka nimpe ujauzito

Ushauri: Nataka nimpe ujauzito

mchorazombie

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
282
Reaction score
114
Wagwaaan!

Mimi ni kijana ambae nimemaliza Chuo kikuu mwaka 2014 na kwa sasa nafanyakazi na kampuni binafsi inayojihusisha na mambo yaukandarasi.

Kwa sasa ninampenzi ambaye nimedumu naye kwa takribani four years na tulishatambulishana kwa wazazi wa pande zote.

Kama mnavyojua katika harakati za kutafuta maisha bora zaidi, mwaka huu siku Si nyingi naweza nikaenda kulitumikia taifa na malengo yangu ni kuwa mwanajeshi. Hii issue nilisha mshirikisha mpenzi wangu na respond yake sikuipenda Sana kwasababu niliiona ya Mashaka Mashaka kutokana na sababu aliyoniambia eti amenizoea Sana na ananipenda Sana coz muda mwingi huwa tuko pamoja tukishare mambo mbalimbali so anaona nikienda huko jeshini atakua mpweke Sana maana tunaweza tusionane kwa zaidi ya mwaka (nikimuangalia body language yake inaonesha kuwa upweke utamshinda).

Mimi Kama mwanaume nimejaribu kumpa moyo Sana na kumwambia napigana kwa ajili yake Ila amekubali but nikimtafakari kwa mkini nahisi Kama anakubali shingo upande tu, sasa nimepanga kabla sijaenda mafunzoni nimpachike mimba kabisa mnanishaurije wadau.
 
ahaha mkuu ??ngoja magreater wanao kulisha waje nivipi watakavyo mlea mama kijacho?
 
atateseka sanaaa
ni bora mbaki kuwa wachumba tuuu coz jeshi unaweza ukasota ata miaka mitatu wakati mwanamke anabaki kuwa mama mlez peke yake pasipo malez ya baba.
Ndio mana watu wanasema ukiona bado hujafanikiwa ktk maisha au still una mipango kibao usioee ishi wewe kama wewe ili asiwepo wa kukulaumuu .
 
Mpachike tu mkuu, ila navyojua mjamzito ni lazima akutane na mwanamme amgegede ili kumtanulia njia asipate tabu siku ya kujifungua, wewe mpe mimba atleast akuzalie damu yako mengine mwachie mungu.
 
Sorry huo utambulisho mlioufanya kwa wazazi wenu ni wa aina gani? Please kama unatafuta maisha kwanza, Tafuta tu.
 
" University is place where the mind is nurtured to think and analyse every thought, short of that it is not a university." Julius K Nyerere 1977
Umesha-graduate sio?!
 
1) Zinaa ni haramu kijamii na kidini
2) Epuka kusababisha mimba za nje ya ndoa kupunguza wanaharamu
3)Kwny vyombo vya ulinzi na usalama kisheria (sio kimazoea ) hutakiwi kumiliki Mume/Mke,Mtoto wala mimba wakati unaenda Mafunzoni, kipindi ukiwa mafunzoni na Miaka kadhaa baada ya kumaliza Mafunzo.
4) Mimba sio kitanzi cha kuepuka kuachwa kama ana dhamira hiyo kuna watu wana ndoa na watoto watano lakin Mapenzi yaki expire (kikweli sio kama sukari za nje) hayana dawa yatakwisha. Kijana wangu Wanawake wasikubabaishe ni kama Puto tu ukubwa wake inategemea nguvu yako ya kulipuliza tu nenda depo ukimaliza utakuta vizuri vya halali vinakusubiri
 
Wagwaaan!

Mimi ni kijana ambae nimemaliza Chuo kikuu mwaka 2014 na kwa sasa nafanyakazi na kampuni binafsi inayojihusisha na mambo yaukandarasi.

Kwa sasa ninampenzi ambaye nimedumu nae kwa takribani four years na tulishatambulishana kwa wazazi wa pande zote.

Kama mnavyojua katika harakati zakutafuta maisha bora zaidi mwaka huu siku Si nyingi naweza nikaenda kulitumikia taifa na malengo yangu ni kua mwanajeshi. Hii issue nilisha mshirikisha mpenzi wangu na respond yake sikuipenda Sana kwasababu niliiona ya Mashaka Mashaka kutokana na sababu aliyoniambia eti amenizoea Sana na ananipenda Sana coz muda mwingi huwa tuko pamoja tukishare mambo mbalimbali so anaona nikienda huko jeshini utakua mpweke Sana maana tunaweza tusionane kwa zaidi ya mwaka (nikimuangalia body language yake inaonesha kua upweke utamshinda).


Mimi Kama mwanaume nimejaribu kumpa moyo Sana na kumwambia napigana kuajiliyake Ila amekubali but nikimtafakari kwa mkini nahisi Kama anakubali shingo upande tu, sasa nimepanga kabla sijaenda mafunzoni nimpachike mimba kabisa mnanishaurije wadau.
Wewe nenda huko unakoenda halafu jamaa watakua wanajipimia kwa raha zao mpaka unarudi utakuta KAONGEZEWA MIMBA INGINE na wewe utakua bwana afya au vipiii?
 
mkuu ukianza kulea utuombe na ushauri jinsi ya kulea basi.
 
Sijakuelewa umemaliza chuo kikuu unataka kujiunga na jeshi kwa ngazi ipi? krut,au cadet? Karibu ila huku mapenzi sahau huku kazi tu.
 
Mkuu kupachika mimba ni staili za kizamani, kwani akiwa na mtoto ndio utamfunga awe wa kwako? Kama ataweza kukusubiri for 2 years huyo anakupenda kwa dhati. Mwanamke asiye na mipango na maisha ni wakuogopa kama ukoma.
 
Back
Top Bottom