naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,989
- 5,510
Mwachie mchungaji wewe oa mwingineNikimkosea badala aniambie nijirekebishe, yeye anaenda kumwambia Mchungaji. Nimejaribu kumsihi asifanye hivyo, yeye anasisitiza hana cha kuongea na mtenda dhamb ila kila kitu atamweleza baba yake wa kiroho.