Kubeba handbag ya mdada ni tatizo?

Kubeba handbag ya mdada ni tatizo?

mficha sukari

Member
Joined
May 9, 2016
Posts
13
Reaction score
4
Kuna siku nilienda kumtembelea boyfriend, sasa mda natoka kwake yeye akawa yuko kama hatua kumi mbele yangu mimi nilikuwa na mdada wa saluni nachukua namba za simu kuna rasta nataka nimwagize.

Sasa ile namaliza kuchukua namba mbele kulikuwa na mijibaba kibao kwenye Grocery inamshangaa hatari boyfriend vile kabeba bag yangu....ikanibidi nikimbie nimuwai niwe naye karibu ili kule kushangaa kupungue....

Pamoja na kuwanaye close ile mijibaba iliendelea kushangaa tu. Sasa sijaelewa kwani boyfriend kubeba begi ya kike ni tatizo? Mbona naonaga Dai anabeba ya Zari na watu hawashtuki? Why my boyfrind washangae?
 
Kama ni kubeba/ kuishikilia tu kwa muda katika kumsaidia kwenye kitu au jambo fulani, sioni tatizo liko wapi.
 
Kuna siku nilienda kumtembelea Boyfriend, sasa mda natoka kwake yeye akawa yuko kama hatua kumi mbele yangu mimi nilikuwa na mdada wa saluni nachukua namba za simu kuna rasta nataka nimwagize

Sasa ile namaliza kuchukua namba mbele kulikuwa na mijibaba kibao kwenye Grocery inamshangaaa hatareeee boyfriend vile kabeba bag yangu....ikanibidi nikimbie nimuwai niwe naye karibu ili kule kushangaa kupungue....

Pamoja na kuwanaye close ile mijibaba iliendelea kushangaaaa tuuu. Sasa sijaelewa kwani boyfriend kubeba begi ya kike ni tatizo? Mbona naonaga Dai anabeba ya Zari na watu hawashtuki? Why my boyfrind washangaeee?
Kuna siku nilienda kumtembelea Boyfriend, sasa mda natoka kwake yeye akawa yuko kama hatua kumi mbele yangu mimi nilikuwa na mdada wa saluni nachukua namba za simu kuna rasta nataka nimwagize

Sasa ile namaliza kuchukua namba mbele kulikuwa na mijibaba kibao kwenye Grocery inamshangaaa hatareeee boyfriend vile kabeba bag yangu....ikanibidi nikimbie nimuwai niwe naye karibu ili kule kushangaa kupungue....

Pamoja na kuwanaye close ile mijibaba iliendelea kushangaaaa tuuu. Sasa sijaelewa kwani boyfriend kubeba begi ya kike ni tatizo? Mbona naonaga Dai anabeba ya Zari na watu hawashtuki? Why my boyfrind washangaeee?

Kwahiyo kwa kifupi unataka kutuambia kila anachofanya huyo Dai wako ni sahihi???... Hata akipumuliwa mgongoni we unaona sawa tu??

Wanaume wana makubwa ya kumfanyia mwanamke wala si kumbebea pochi.... Mwambie akununulie japo ka Vitz ili wanaume wenzie wasiendelee kumcheka...
 
Kwa Kenya huenda ni amri ya bibi abebewe, maana ukikataa mwanaume Ana weza chezea kichapo Mbele ya kadamnasi.
wanawake wa kikenya hawachezewi na ma ndi ndi ndi na wala hawakojozwi hovyo
 
kwenye mkoba wa wanawake unaweza kuta hata kondomu zimo kwenye mkoba unaoubeba, dont take that risk!
 
ni mwiko kuficha u sweet
1463542756517.jpg
halifichikii eeh halifichikii..! Gunia la sukari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwahiyo kwa kifupi unataka kutuambia kila anachofanya huyo Dai wako ni sahihi???... Hata akipumuliwa mgongoni we unaona sawa tu??

Wanaume wana makubwa ya kumfanyia mwanamke wala si kumbebea pochi.... Mwambie akununulie japo ka Vitz ili wanaume wenzie wasiendelee kumcheka...
[emoji276] [emoji276] [emoji276]
 
Aisee sio kibongo bongo,

mshazoea tukiwapleez sana mnasema mmetuweka vigangani, full kujisifia! ndo maana tukimuona amebeba tunajua amewekwa kiganjani na tunamuonea huruma
 
Teh teh..Ungechelewa kidogo watu wangeanza kumpiga sound..
Una uhakika hawakumpiga japo kamkonyezo? Ukute jamaa lenyewe linamzigo kama kakiroba ka sukari kwenye ghala za Zakaria.
 
ukihisi watu wana tatizo bas wewe ndio mwenye matatizo. Ukiwa unatembea kazi yako ni kuangalia watu wasiwaangalie? hujioni we ndo unajistukia bila sbab ya msingi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom