Kama niamini kama siamini maana hata hiyo august tano hatujafika,but vyovyote vile kujichululia hatua kama hivi si vizuri kwa muhusika na kama yeye kweli alifanya hivyo kwa shemeji yake pia si vizuri,unyama gani huu wanafnyiana,na yeye ange mchukulia dada yake tu yaishe.
Hii nchi siku hizi hata sio yaamani tena,hivi wanaofanya hivi wanalala kabisa na kupata amani?mi nina roho ngumu kwenye totoz tu lakini siwezi kudhuru mtu lakini demu wake naweza kumla na nisijisikie vibaya mtu akiniudhi sio huku kuumizana na kupeana vilema
Huyu wife material kabisa akinikubali nachukua mazima mazima,lol.ni mzuri sana lakini kapooza.so kwenye mostsimuweki bali kwaviwango vya deu wa kuwa nae haswa kwa vitombi kama mimi huyu ndio anafaa.
100% right,wema kwenye uzuri hayupo sema tu ana umaarufu na kaumbika baadhi ya sehemu but uzuri haswaa w viwango ni idara zote husikq sio nusenusu,nimewakubali wote kasoro huyo halagu ukimtoa wema hapo angewekwa Irene Uwoya,bila kuweka mapungufu yake,ni mzuri yule binti.halafu zamani kulikua na...
Mi nataka lowassa ashinde urais,halafu cabinet yake ichnganywe na upinzqni ndio hii nchi itatengemaa,hii nchi inahitaji mtu mbabe na sio mropokaji ovyo na muuza meno.
Kwenyeswala la sembenitamtetea Rais as Jk,analipinga sanaaaaaa.watu wa karibu wanajua hata hao warendaji wake,sema tu kazidiwa kete n watendaji muhimu.wauza unga hawampendi kabisa kikwete,mengine yote yase,we lakii sio huku.
Watu mnazidisha chumvi jamani,kila lawama Rais?ana mapungufu yake lakini kwenye swala la unga JK mkali kuliko mnavyofikiria,we unadhani kwanini hao watu wanakimbilia nje.tatizo watendaji wake,na njaa za wafanyakazi wa sehemu husikq,mi ndio maana nasema hii nchi inahitaji ipate rais tajiri na...
Pia watu unawwaalika house party or just abgathering watu wanaondoka na vyakula na vinywaji wanafanya takeawaya,si ustaarabu kabisa,pia watu wanapita home kwako kiasa kaona gari au taa imewashwa eyti anajua upo so kaamua tu kuja bila kukupihia simu au kukutaarifu na hana la muhimu...
nadhani alikuwa anajua kabisa angmwndaa mytu mwingine asingeku ana msimamo na wstrn countries wanaopenda ku control viongozi wa nchi za africa nadhani kama kweli ndoto ya united states of africa ingetimia angeachia madaraka,alikua ana nia nzuri tu na nchi yake,mbona angekua rais wetu hawa...
lakini mshikaji wewe uko safi?kama uko safi wala usihofu halafu hiz facebook zitawavurugia ndoa,ya nini kuhangaika nayo mjitoe tu huko hakuna mpya zaidi ya picha na ugomvi especially kwa sie tunaoitwa vimeo mi nilijitoa long time maana kila siku nilikua natibua kesi na vishawishi huko vingi...
lakini yul mama anakubalika maana hata huyo mpinzani wake walipishana kura 4 tu katika maoni.tena hatumii hongo wala nini kama mwenzake.chadema sometimes tunajisahahu sana.mbwembwe nyingi matendo kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.